Taifa Gas Yapewa Tuzo Kutambua Jitihada Zake Utunzaji wa Mazingira Nchini
Taifa Gas Yapewa Tuzo Kutambua Jitihada Zake Utunzaji wa Mazingira Nchini Dodoma: Juni 5, 2024: Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amekabidhi tuzo maalum kwa kampuni ya nishati ya gesi ya kupikia ya Taifa Gas Limited ikiwa ni ishara ya serikali kutambua juhudi za kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira sambamba na kuunga mkono…