Admin

Somo la Profesa Muhongo kukabiliana na tatizo la ajira

Dar es Salaam.Ni ukweli usiopingika kwamba takribani kila kaya nchini Tanzania ina kijana aliyehitimu shahada ama stashahada, lakini  hana ajira wala shughuli ya kumuingizia kipato. Ikumbukwe kuwa elimu ni uwekezaji ambao ni sawa na biashara nyingine na kila mzazi humpeleka mtoto wake shule kwa malengo ya kupata maarifa na kipato. Lakini sasa hali ni tofauti….

Read More

Makamu wa Rais mgeni rasmi kongamano Dira ya Maendeleo

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano la Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 litakalofanyika Juni 8,2024 kwenye ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 4, 2024 jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais,…

Read More

Samia ampongeza Rais mteule Mexico

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Rais mteule wa Mexico Claudia Sheinbaum baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, uliofanyika Jumapili ya Juni 2, 2024. Rais Samia ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa X leo Juni 4, 2024 akimtakia kila la kheri katika uongozi wake….

Read More