Admin

Serikali yatoa kauli malalamiko ya kodi, matumizi ya EFD

Dodoma. Wakati Serikali ikiwataka wananchi kuwasilisha malalamiko ya kodi kupitia namba ya bure, imeeleza changamoto inazopitia katika ukusanyaji kodi kwa kutumia mashine za kielektroniki za EFD. Pia Kamati ya Bunge ya Bajeti imezungumzia tatizo la malalamiko ya kodi, ikibainisha masharti ya kumlinda mteja kwenye Sheria ya Sekta ndogo ya Fedha ndiyo suluhisho la mikopo ‘kausha…

Read More

Kijiji chapata maji safi na salama kwa mara ya kwanza tangu Uhuru

Adha ya upatikanaji wa maji safi na salama, iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kijiji cha Mherule, kata ya Mwanya Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imebaki historia baada ya serikali kutekeleza mradi wa maji safi na salama ya kunywa kijijini hapo. Anaripoti Victor Makinda, Morogoro…(endelea). Wakizungumza na MwanaHALISI Online wananchi wa kijiji hicho wamesema ujio…

Read More

ANC chasaka washirika kuunda serikali – DW – 04.06.2024

Kinakabiliwa na changamoto hiyo baada ya kupoteza wingi wa viti vya bunge katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita ikiwa ni mara ya kwanza tangu kilipoingia madarakani miaka 30 iliyopita. Vyama vyenye uwezekano wa kuunda ushirika na chama cha ANC vyenye itikadi tofauti zinazokinzana ni pamoja na Demokratic Alliance, chama cha aliyekuwa Rais wa zamani Jacob Zuma…

Read More

Apewa figo na dada yake, akosa Sh50 milioni kuipandikiza

Moshi. Licha ya dada yake kukubali kumchangia figo, maisha ya kijana Dickson Sambo aliyeishi miaka minane akisafishwa damu kutokana na tatizo la figo, bado yako kwenye hatihati. Kijana huyo mkazi wa Mbokomu, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ambaye figo zake zote mbili zilifeli miaka minane iliyopita, ameshindwa kupandikizwa ogani hiyo kutokana na kukosa Sh50 milioni…

Read More

HAKIELIMU YAZINDUA RIPOTI YA UTAFITI KUHUSU HALI YA UPATIKANAJI WA ELIMU BORA KWA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAKAZI DUNI NA YASIYO RASMI, MIJINI

NA EMMANUEL MBATILO, DODOMA SHIRIKA linalojihusisha na Elimu Tanzania, HakiElimu limezindua ripoti ya Utafiti kuhusu hali ya upatikanaji wa elimu bora kwa watoto wanaoishi katika Makazi duni na yasiyo rasmi, Mijini ambayo inakwenda kusaidia kuboresha elimu kwa watoto wenye makazi duni. Utafiti huo wa HakiElimu umefanywa kwa kushirikiana na Kituo cha Utafiti wa Idadi ya…

Read More

Mbeya Cement yatoa gawio baada ya miaka 10

Dar es Salaam. Kampuni ya saruji ya Mbeya Cement Company Limited (MCCL) imetangaza malipo ya gawio ikiwa ni miaka 10 tangu malipo ya mwisho yalipofanyika.  Kampuni hiyo imetangaza mgao wa Sh4,259 kwa kila hisa, ikiwa ni sehemu ya faida iliyosubiriwa kwa muda mrefu inayoakisi utendaji wa kampuni uliorekodiwa mwaka wa 2023. Kutokana na faida hiyo,…

Read More