Serikali yatoa kauli malalamiko ya kodi, matumizi ya EFD
Dodoma. Wakati Serikali ikiwataka wananchi kuwasilisha malalamiko ya kodi kupitia namba ya bure, imeeleza changamoto inazopitia katika ukusanyaji kodi kwa kutumia mashine za kielektroniki za EFD. Pia Kamati ya Bunge ya Bajeti imezungumzia tatizo la malalamiko ya kodi, ikibainisha masharti ya kumlinda mteja kwenye Sheria ya Sekta ndogo ya Fedha ndiyo suluhisho la mikopo ‘kausha…