Mpina aivaa wizara nzima ya Maliasili
Dodoma. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa mara nyingine ameibua mjadala mkali bungeni safari hii akitoa kutoa wito kwa Bunge kumtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuchukua hatua kali dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki pamoja na watendaji wote wa wizara hiyo. Mpina, waziri wa zamani wa Mifugo na Uvuvi ambaye ambaye kwa…