Zelensky afanya ziara Ufilipino kusaka uungwaji mkono – DW – 03.06.2024
Ameitumia ziara hiyo kuwaomba viongozi wa bara hilo kuhudhuria mkutano wa kilele wa amani ulioandaliwa na Uswisi kujadili vita vya Ukraine na Urusi. Zelensky amedai Urusi na China zinajaribu kuudhoofisha mkutano huo. Zelensky aliwasili mjini Manila siku ya Jumapili chini ya ulinzi mkali, baada ya kushiriki Jukwaa la Kimataifa la majadiliano ya usalama la Shangri -La…