Admin

Halmashauri yatambua shule bora Babati

Katika kuendeleza Kukuza kiwango cha elimu nchi Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara imetoa Pongezi na vikombe vya heshima kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya wanafunzi wa darasa la nne na darsa la Saba. Hayo yamefanyika katika Mji wa Babati Mkoani Manyara ambapo shule ya Deira English Medium School imeongoza kwa kufanya vizuri…

Read More

Mahujaji 3,300 wanaoenda kuhiji wapewa somo

Dar es Salaam. Mahujaji wanaokwenda kuhiji Makka  wametakiwa kuwa makini na kufuata maelekezo ya viongozi ili kunufaika na nguzo hiyo muhimu kati ya tano za kiislamu. Pia, wametakiwa watakapokuwa hijja kujikita katika ibada kwa ajili ya mwenyezi Mungu. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Juni 3, 2024 na Sheikh Hamid Jongo kwa niaba ya Mufti wa…

Read More

Utamu, utata msimu wa 2023/24

MSIMU wa 69 wa soka la Tanzania umekamilika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho kufanyika visiwani Zanzibar na Yanga SC kushinda kwa changamoto ya mikwaju ya penalti 6-5 baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya 0-0. Yanga ambao pia ni mabingwa wa Ligi Kuu, wamefanikiwa kutetea mataji haya kwa msimu wa tatu mfululizo. Walishinda…

Read More

Visiwa vidogo 17 ZNZ,thamani ya mitaji ni dola Million 384

Mara baada ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuruhusu visiwa vidogo vidogo kukodishwa mwaka 2021 ambapo kati ya visiwa vidogo17 kwenye 20 vilitangzwa na kupewa wawekezaji kwa kuekeza na thamani ya mitaji ilioekezwa kwenye miradi hiyo ni Dola za kimarekani Milioni 384 ,zaid ya Dola za Kimarekani Milioni 20.5 zimekusanywa kama ada ya visiwa hivyo….

Read More

Serikali kutunga sera kuzilea kampuni changa

Seoul. Serikali imeanza mchakato wa kutunga sera kwa ajili ya kampuni changa (startups), ili kujenga mazingira mazuri ya ukuaji wa bunifu za watu na kuzilea hadi kuwa kampuni kubwa. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Juni 3, 2024 Seoul, Korea Kusini na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alipotembelea Kituo Atamizi cha Kimataifa…

Read More

Ngawina anogewa Singida FG akiwatega mabosi

BAADA ya kuiokoa Singida Fountain Gate isishuke daraja, Kocha Mkuu wa muda wa timu hiyo, Ngawina Ngawina amenogewa akisema msimu wa kwanza akifundisha timu ya Ligi Kuu umempa funzo kubwa huku akiwaachia msala mabosi wa timu kuendelea kumuamini ama kumpiga chini. Ngawina aliyeanza msimu huu kwa kuzifundisha timu za Ligi ya Championship, TMA ya Arusha…

Read More

Mchungaji Msigwa kupinga ushindi wa Sugu Kanda ya Nyasa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa, amekata rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyomng’oa madarakani na kumpa ushindi Joseph Mbilinyi (Sugu). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Mchungaji Msigwa ametangaza kusudio hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari, ikiwa ni siku chache tangu uchaguzi huo wa kusaka…

Read More

Msigwa akata  rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi Nyasa, Chadema wamjibu

Iringa/Dar. Aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa amekata rufaa katika chama hicho, akidai ushindi alioupata Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ haukuwa halali. Hata hivyo, wakati Msigwa akisema hayo, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kama kweli Msigwa amekata rufaa na kufuata mfumo unaotakiwa,…

Read More