Halmashauri yatambua shule bora Babati
Katika kuendeleza Kukuza kiwango cha elimu nchi Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara imetoa Pongezi na vikombe vya heshima kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya wanafunzi wa darasa la nne na darsa la Saba. Hayo yamefanyika katika Mji wa Babati Mkoani Manyara ambapo shule ya Deira English Medium School imeongoza kwa kufanya vizuri…