Admin

Wazir Junior atua kwenye rada za Ihefu

KAMA mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini muda wowote kuanzia leo Jumanne, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’, ambayo ilikwenda nchini Indonesia….

Read More

Mustakabali wa David Raya ndani ya Arsenal.

Arsenal wanatarajiwa kuanzisha kipengele cha kumnunua David Raya kwa pauni milioni 27. Romano anafichua kuwa Arsenal wanatarajiwa kuendelea na hatua rasmi za kuamsha kipengele cha kumnunua David Raya cha pauni milioni 27 siku zijazo. Iwapo Arsenal itaanzisha kipengele cha kumnunua David Raya cha pauni milioni 27, itaashiria kujitolea kwao kuimarisha chaguo lao la walinda mlango….

Read More

Ramaphosa asema hakuna nafasi ya vurugu Afrika Kusini – DW – 03.06.2024

Matokeo rasmi yaliyotangazwa siku ya Jumapili, yalikuwa mabaya kwa chama tawala cha African National Congress ANC, ambacho ni chama kikongwe cha ukombozi barani Afrika kilichowahi kuongozwa na Nelson Mandela miaka 30 iliyopita na kuondoa utawala wa wazungu. Wapiga kura waliokasirishwa na kupanda kwa viwango vya ukosefu wa ajira, uchumi kuyumba na kutokuwa unavyohitajika, kutokuwa na…

Read More

Jah Pipo alivyotajwa, katekista kutiwa mbaroni-2

Njombe.  Jana, katika simulizi hii katekista Daniel Mwalango au ‘Dani’ alipanga  na kutekeleza mauaji Nickson Myamba kisha akaanza kutumia simu ya marehemu, kutuma ujumbe (SMS) kwa mkewe na kiongozi mwingine wa kanisa akijifanya ndiye Myamba. Makala haya yanaegemea hukumu iliyotolewa Desemba 12, 2023 na Jaji Said Kalunde wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, baada ya…

Read More

Ramaphosa akubali anguko la ANC, awaachia wananchi

Johannesburg. Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya nchi hiyo ni ushindi wa demokrasia.  Katika matokeo hayo, African National Congress (ANC) imepata asilimia 40.18, ikifuatiwa na Democratic Alliance (DA) asilimia 21.81, uMkhoto we Sizwe (MK) asilimia 14.58, Economic Freedom Fighters (EFF) asilimia 9.52, huku vyama…

Read More