Yanga Yazindua Jezi Mpya kwa Msimu wa 2025/2026 – Global Publishers
Klabu ya Yanga imezindua rasmi jezi zake mpya kwa ajili ya msimu wa mashindano wa 2025/2026. Jezi mpya zimebeba mchanganyiko wa ubunifu wa kisasa na rangi za kijadi za klabu hiyo – kijani na njano – zikionyesha utambulisho wa mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania. Muundo mpya unalenga kuipa timu taswira ya…