Umoja wa Mataifa waguswa na ripoti ya kuongezeka mauaji ya raia nchini Burkina Faso
Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, imeguswa na ripoti za kuongezeka mauaji dhidi ya raia nchini Burkina Faso. Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa inaeleza hayo huku taarifa zikionyesha juu ya kuhusika jeshi na mamluki wa kigeni katika mauaji hayo. Kamishna Mkuu wa tume hiyo Volker Turk…