Admin

Wafugaji watajwa tembo kuvamia makazi ya watu

Dodoma. Wakati vilio vya wanyama waharibifu wakiwemo viboko, tembo na nyani kuvamia makazi ya watu vikisikika bungeni, wafugaji wanatajwa kuchangia hali hiyo. Wabunge pia wamepigia kelele fidia kwa wananchi wanaopata madhara kutokana na wanyama hao, wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2024/25. Wamechangia mjadala…

Read More

Mwakinyo mambo magumu, msimamizi WBO atoa masharti haya

Hali bado si shwari kwa bondia Hassan Mwakinyo, kutokana na tukio la kushindwa kupanda ulingoni jana usiku kuzipiga na  Mghana, Patrick Allotey kutetea ubingwa wa WBO Afrika. Mwanaspoti linalofuatilia kikao cha kujadili mipangto ya pambano hilo kurudiwa baada ya kukwama jana jiji Dar es Salaam kilikuwa hakijatoa muafaka hadi muda huu, kwani bado kuna mvutano…

Read More

Dk Biteko ataja maumivu ya walimu

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu,  Dk Doto Biteko ameeleza uzoefu wake katika kazi ya ufundishaji, akisema walimu wamekuwa wakiumia wanafunzi wao wanapofeli darasani na maishani. Dk Biteko ambaye amewahi kuwa mwalimu wa msingi, sekondari,  mkufunzi wa walimu na ofisa elimu,  amesema hayo leo Jumamosi, Juni 1, 2024 jijini Dodoma wakati wa hafla ya chakula cha pamoja…

Read More