Admin

Wawakilishi wacharuka utalii kupewa fedha kidogo

Unguja. Wakati Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale, ikiainisha vipaumbele vinane katika mwaka wa fedha 2024/25, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameonyesha wasiwasi,  kutokana na upatikanaji wa fedha kidogo katika bajeti ya mwaka unaoisha wa 2023/24 ilhali sekta hiyo ndiyo msingi mkuu wa mapato ya Taifa. Katika bajeti hiyo, kwa programu zake zote nne…

Read More

Sababu uchaguzi TLS kukosa ‘hamasa’

Dar es Salaam. Wakati Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) ikiongeza muda wa siku saba kutoa nafasi kwa wanachama zaidi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho, baadhi ya mawakili wameeleza sababu ya uchaguzi huo kudorora ikiwamo mabadiliko ya sheria ya chama hicho.  Sababu nyingine imetajwa kuwa ni kuchoshwa…

Read More

ANC kinavyoshinda kwa jasho uchaguzi Afrika Kusini

Dar es Salaam. Ikiwa ni siku ya tatu kwa taifa la Afrika Kusini kuendelea kuhesabu matokeo ya uchaguzi,  chama tawala cha African National Congress (ANC) kimeendelea kutokwa na jasho katika uchaguzi huo kitu ambacho hakijawahi kutokea tangu 1994.  Hili linatajwa kuwa ni anguko kubwa kwa ANC licha ya kuongoza kwa zaidi ya asilimia 40 ya…

Read More

Aomba kura kwa kumwaga dua kwa wajumbe, apenya

Mwanza. Mungu hamtupi mja wake. Ndivyo unavyoweza kuelezea ushindi wa nafasi ya makamu mwenyekiti alioupata Mariam Mashibe baada ya kuanza kuwaombea wajumbe zaidi ya 300 kisha kutaja sera zake na kuomba kupigiwa kura. Mariam ambaye ni mkulima wa pamba na mazao mchanganyiko wilayani Kwimba, alikuwa miongoni mwa wagombea 13 wa nafasi tano ya ujumbe wa…

Read More

Anayedaiwa kuuawa na mkewe azikwa na mapadri zaidi ya tisa

Moshi. Mamia ya waombolezaji kutoka ndani na nje ya mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro wamefurika katika Parokia ya Bikira Maria Mtolewa Hekaluni, Katanini, Karanga kuuaga mwili wa Ephagro Msele (43) ambaye aliuawa na mkewe Beatrice Elias (36) akiwa nyumbani kwa mwanamke aliyezaa naye katika Kitongoji cha Pumuani A, Manispaa ya Moshi.  Msele ambaye ni mkazi…

Read More

Wahitimu watakiwa kutumia taaluma zao kujiajiri

Dar es Salaam. Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wametakiwa kutosubiri kuajiriwa serikalini au katika sekta binafsi, bali watafute namna ya kutumia ujuzi walioupata katika masomo yao kujipatia kipato. Hayo yameelezwa jana Ijumaa Mei 31, 2024 na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa William Anangisye wakati wa mahafali ya…

Read More

WAHADHIRI NELSON MANDELA WATUNIKIWA VYETI KWA KUCHAPISHA TAFITI ZA KIMATAIFA

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa (kushoto) mara baada ya kumkabidhi cheti Mhadhiri kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Emmanuel Mpolya (kulia) ambaye ni miongoni mwa Wahadhiri waliopata tuzo kwa kuchapisha tafiti katika majarida yenye hadhi ya kimataifa. …….. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewapongeza…

Read More