Admin

Mustakabali wa Anthony Martial. – Millard Ayo

Anthony Martial anakaribia kukabidhiwa maisha ya soka akiwa na vilabu vitatu vinavyotaka kumsajili mshambuliaji anayeondoka Man United. Anthony Martial ametangaza kuondoka Man United na fowadi huyo wa Ufaransa anaonekana kuwa na chaguo kadhaa linapokuja suala la klabu yake ijayo. Martial aliingia kwenye mtandao wa kijamii mapema wiki hii kuthibitisha kwamba ataondoka Old Trafford, na hivyo…

Read More

Rais wangu mama Samia; Wananchi wa Igoma watendewe haki

RAIS wangu mama Samia, wananchi wa eneo la Igoma Truck Terminal, mtaa wa Mwembeni, kata ya Igoma jijini Mwanza, wanateseka kwa sababu ya watendaji wako. Wamezibiwa barabara ya kupita na wawekezaji wa kiwanja namba 109 kitalu B. Anaandika Leonard Manyama… (endelea). Kiwanja hiki ni mali ya halmashauri ya jiji la Mwanza ambacho awali kilibaki bila…

Read More

WALIOSHINDA SHINDANO LA WAUZAJI BORA VILAINISHI VYA ORYX WAKABIDHIWA TIKETI KWENDA DUBAI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Mwandishi Wetu   KAMPUNI ya Oryx Services and Specialties Ltd iliyoendesha shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya Maduka ya Oryx na wasambazaji wa Vilainishi vya Oryx leo Mei 31,2024 imekabidhi tiketi kwa washindi wa shindano hao ambao watakwenda Dubai na gharama zote zitagharamiwa na Kampuni hiyo.   Shindano…

Read More

Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe  akishirikiana na hawara

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja na mtu mwingine anayedaiwa ni hawara yake kwa tuhuma za mauaji ya mme wa mwanamke huyo kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Watuhumiwa hao ambao majina yao hayajatajwa wanadaiwa kumuua Victor Mwakapenda (41), mkazi wa mtaa wa Ilembo, Mbozi mkoani humo. Kamanda wa Polisi mkoani…

Read More

ELIMU YA FEDHA YAWAFIKIA WALIMU BIHARAMULO

  Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha Bi. Mary Mihigo akielezea umuhimu wa kuweka akiba kwa Walimu wa Wilaya ya Biharamulo wakati wa semina iliyofanyika katika Ukumbi wa St. Clara wilayani Biharamulo mkoani Kagera. Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha Bw….

Read More

Unachopaswa kukijua kuhusu mzio

LEO nitafafanua tatizo la mzio ambalo wengi hulifahamu kwa jina la ‘aleji’ (allergy). Hili tatizo husumbua sana baadhi ya watu. Mzio au magonjwa ya mzio, ni hali mbalimbali zinazosababishwa na mnyumbuliko usio na kifani wakati seli za mwili wako unapokataa kitu ambacho kwa mtu wa kawiada hakina madhara. Mzio hujitokeza kwa alama /dalili mbalimbali na…

Read More

Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe  akishirikiana na hawala

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja na mtu mwingine anayedaiwa ni hawala yake kwa tuhuma za mauaji ya mme wa mwanamke huyo kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Watuhumiwa hao ambao majina yao hayajatajwa wanadaiwa kumuua Victor Mwakapenda (41), mkazi wa mtaa wa Ilembo, Mbozi mkoani humo. Kamanda wa Polisi mkoani…

Read More

TCAA yakabidhi vifaa kwa shule ya msingi Mnete-Mtwara

Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA imekabidhi vifaa vya shule na vya ofisi katika Shule ya Msingi Mnete iliyopo mkoani Mtwara ikiwa ni msaada kwa jamii. Akizungumza wakati wa kupokea vifaa hivyo vyenye thamani ya Milioni Kumi (10) Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Mwanahamisi A. Munkunda ameishukuru TCAA kwa kuona hitaji na kuchukua hatua…

Read More