Baba Sure Boy auweka mpira kati Kariakoo Dabi
Abubakar Salum ‘Sure Boy Sr’ ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amesema Kariakoo Dabi haijawahi kutabirika, haijalishi ni timu gani inakuwa kwenye kiwango kizuri kwa wakati huo. Mkongwe huyo aliyewahi kuichezea Yanga SC, amesema kwenye makaratasi Yanga imeonyesha kiwango cha juu kwenye mechi mbalimbali, lakini hilo halitoshi kuona ni…