Admin

Vijana Wawekewa Mazingira ya Fursa ya Ajira ya Fani ya Mechatronics-Mwalim u VETA Kipawa

 Mwalimu wa VETA Kipawa Ricky Sambo akizungumza na Wanafunzi wa Sekondari Waliotembelea Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga. Baadhi ya wananchi  wakiwa katika Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu,Ubunifu na Ujuzi. Na Chalila Kibuda,Michuzi TV MWALIMU  VETA Kipawa…

Read More

Sheria za bodaboda kufutwa Zanzibar.

Naibu waziri wa Ujenzi mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe Nadir Abdullatif akijibu hoja za Waheshimiwa wawakilishi Kwenye Baraza la wawakilishi linaloendelea Chukwani Zanzibar amesema madereva wa boda boda watawashughulikia kwa kuwatia adabu kwa kwa kuvunja nidhamu za kwenye njia Naibu wa ujenzi ameyasema hayo kufuatia michango ya wajumbe wa Baraza hilo , kwa kile kinachotajwa…

Read More

Sagini azungumzia wanafunzi kufeli mitihani ya uwakili

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST), kutoa mrejesho wa uwezo wa wanafunzi wanaowapokea. Msingi wa kauli hiyo, ni kile alichodai kutoridhishwa na asilimia 59 ya ufaulu wa jumla wa wahitimu wa LST tangu ilipoanzishwa. Tangu kuanzishwa kwa taasisi hiyo, Mkuu wa…

Read More

JUMUIYA YA SHIA WAMPONGEZA RAIS DK.MWINYI KWA MAENDELEO

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameushukuru uongozi wa Jumuiya ya Shia Tanzania kumpongeza kwa kazi nzuri anazozifanya kuwaletea maendeleo makubwa wananchi wa Zanzibar. Rais Dk.Mwinyi ametoa shukrani hizo alipokutana na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe:…

Read More

Ac Monaco kuhitaji kumsajili Broja.

Kwa mujibu wa L’Équipe, AS Monaco kwa sasa wapo kwenye mazungumzo na Chelsea kuhusu usajili wa Armando Broja (22). Klabu hiyo ya Principality kwa sasa inaongoza Watford na AC Milan katika mbio za kumsajili mshambuliaji huyo, ambaye alitumia kipindi cha pili cha msimu kwa mkopo katika klabu ya Fulham. Wiki iliyopita, Monaco ilithibitisha kuwa nahodha…

Read More

Waathirika wa mafuriko Rufiji wapewa mbegu za mahindi

Rufiji. Benki ya CRDB imekabidhi msaada wa mbegu za mahindi zenye thamani Sh50 milioni, kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea katika msimu wa masika Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani. Benki hiyo imekabidhi kilo 7,148.857 za mbegu za kisasa za mahindi, zitakazosambazwa kwa wananchi ili wazitumie katika msimu ujao wa kilimo ili kuhakikisha wanakuwa na chakula cha…

Read More

WABUNIFU WA MUHAS WANUFAIKA NA ELIMU YA HAKI MILIKI

Mwanaisha Sendekwa akitoa elimu kuhusu Haki Miliki kwa wabunifu kutoka MUHAS wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika viwanja vya Popatlal,  jijini TangaAfisa Haki Miliki kutoka COSOTA, Mwanaisha Sendekwa akiwa kwenye picha ya pamoja na wabunifu kutoka MUHAS baada ya kutoa elimu kwao juu ya haki miliki za…

Read More

Mziba, Boban waichambua Ligi Kuu Bara

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika Jumanne ya Mei 28, 2024, mastaa wa zamani na makocha wamechambua ubora na mambo ya kufayafanyia marekebisho kwa ajili ya msimu ujao. Mwanaspoti limezungumza na wataalamu wa soka hao kwa nyakati tofauti, kitu kikubwa walichokitaja kinahitaji maboresho ni ukarabati wa viwanja pamoja na ratiba izingatie ramani za…

Read More

Bodi ya mfuko wa barabara yakusanya mapato asilimia 77.

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25. Amesema katika mwaka wa fedha 2023/24, Bodi ilipanga kukusanya Shilingi bilioni 856.795 na kati ya fedha hizo,…

Read More

Wanawake jamii za wafugaji wanavyokabili mabadiliko ya tabianchi

Arusha/Manyara. Wanawake katika jamii za wafugaji, hususan Wamasai, hawahusishwi sana katika shughuli za uchumi za kujipatia kipato au kusaidia familia zao katika mahitaji ya kila siku. Hata hivyo, wapo waliojikomboa katika hili na kuamua kuchakarika kutokana na uhalisia wa hali ya maisha, hasa ukame ulioathiri shughuli za ufugaji. “Siku hizi ng’ombe siyo wengi na hawatoi…

Read More