MPINA AIBUKA NA HOJA BUNGENI KUHUSU UTOROSHWAJI WA FEDHA NJE YA NCHI
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MBUNGE wa Jimbo la Kisesa Mheshimiwa Luhaga Mpina amesema Tanzania inaripotiwa kutorosha nje ya nchi zaidi ya Tsh Trilioni 3.5 kwa mwaka na Kenya inaripotiwa kutorosha zaidi ya Ksh 40 bilioni (sawa na Tsh Bilioni 744) kwa mwaka. Amesema kwanini mianya ya upotevu wa mapato na raslimali za nchi imeshindwa…