
ULEGA KUZINDUA RASMI KAMPENI ZA CCM UCHAGUZI MKUU 2025 MWANDEGE WILAYA YA MKURANGA LEO.
Mgiombea Ubunge wa viti maalum mkoa wa Pwani. Bi. Mariam Abdallah Ibrahim . Ameungana na wanawake wa wialaya ya Mkungara kufagia uwanja leo kwajili ya kujiandaa na Uzindua wa Kampeni ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025 Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi Katika Viwanja vya vya Mwandege mkoa Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani,leo tarehe…