Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank Tanzania
Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki ikiendelea kuimarisha jukumu lake katika kukuza ushirikishwaji wa kifedha, kusaidia biashara ndogo na za kati, na kuleta ukuaji endelevu wa kiuchumi Tanzania. Akizungumzia uteuzi huo, Dkt. Florens Martin Turuka, Mwenyekiti wa Equity Bank…