BARRICK YAFANIKISHA KONGAMANO YA WANAFUNZI VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOANI MWANZA
KAMPUNI ya Barrick nchini imedhamini kongamano la Vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ambapo wanafunzi walioshiriki walipata fursa ya kujengewa uwezo kuhusiana na masuala ya kujiamini,jinsi ya kujiajiri na kupata ajira sambamba na kutambua fursa zilizopo zinatozotokana na mabadiliko ya…