Mataifa ya Sahel yatekeleza luteka ya kwanza ya kijeshi – DW – 27.05.2024
Wizara ya ulinzi ya Niger imesema kuwa mataifa matano ya kanda ya Sahel yamefanya luteka ya kijeshi magharibi mwa Niger. Mazoezi hayo yatakayoendelea hadi mnamo Juni 3 ni ya kwanza ya aina hiyo katika eneo hilo linalokumbwa na hujuma za makundi ya itikadi kali za kiislamu. Mataifa ya Sahel yatekeleza luteka ya kwanza ya…