Admin

Miili minne yapatikana ajali ya mtumbwi Katavi

Katavi. Miili ya watu wanne kati ya saba wanaohofiwa kufariki dunia kwa ajali ya mtumbwi katika Mto Lunguya uliopo Kitongoji cha Lunguya Kijiji cha Mwamapuli mkoani Katavi imepatikana. Mtumbwi huo uliokuwa umebeba watu 14 na mizigo ya mazao ulipinduka Mei 26, 2024 ukidaiwa kuzidiwa na uzito na watu saba kuzama majini. Akizungumza na Mwananchi leo…

Read More

Stars kambini bila mastaa Yanga

KIKOSI cha timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachocheza mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia kimeitwa kambini, lakini wachezaji wa Yanga watachelewa kujiunga nacho. Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinasema wachezaji wa kikosi hicho watajiunga na wenzao watakapomaliza mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) utakaochezwa Juni 2, mwaka huu. Juni 11,…

Read More

Beatrice akamatwa kwa kumuua mume wake

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Beatrice Kwayu kwa tuhuma za kumuua Evagro Msele ambaye ni mume wake kwa kutumia kitu chenye ncha kali mgongoni wakati alipokuwa akitoka nyumbani kwa mke Mdogo katika kata ya Kiruo Vunjo Mashariki Philip Msele ndugu wa marehemu amesema baada ya mke Mkubwa kubaini…

Read More

Kinana aungana na Tale kugawa mitungi ya gesi 800

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amesema kampeni ya nishati safi iliyoanzishwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan inalenga kumtua mwanamke mzigo wa kuni kichwani na kumpa muda mwingi wa kujikita katika shughuli za maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro… (endelea). Kinana ametoa kauli hiyo jana Jumapili wakati akizungumza na wakazi…

Read More

Makonda apiga marufuku hospitali kuzuia maiti

Monduli. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amepiga marufuku hospitali za mkoa huo kuzuia maiti kwa sababu ya kushindwa kulipa madeni ya gharama za matibabu. Amesema kazi ya huduma ya afya ni kazi ya wito ya kumtanguliza Mungu na kuwa katika baadhi ya maeneo wameona kuna changamoto na wanaotuhumiwa ni wataalamu wa afya, wkiwemo…

Read More

Aliyekuwa kocha Simba afikisha siku 553 rumande 

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultani (40) na wenzake wanaendelea kusota rumande kwa siku 553 sasa, kutokana na upelelezi wa shauri lao kutokamilka. Sultan na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja na kutakatisha fedha. Kwa mara ya kwanza, washtakiwa…

Read More

Wazanzibar watarajia makubwa kutoka NMB Pesa Akaunti

Wateja wapya wa Benki ya NMB wa Zanzibar wanatarajia neema kubwa kimaisha baada ya kujumuishwa katika mfumo rasmi wa fedha na taasisi hiyo kupitia kampeni yake ya “NMB Pesa Haachwi Mtu”. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Matumaini hayo kwanza yanatokana na kuweza kufungua akaunti ya NMB Pesa kidijitali kigezo kikubwa kikiwa ni ada ya Sh1000 tu na…

Read More

GGML inavyowezesha watu wenye ulemavu Geita

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani…

Read More