BODI YA UTALII TANZANIA YAWAKARIBISHA MA-CEO ARUSHA KUSHIRIKI KIKAO KAZI,AWAOMBA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO
Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amewakaribisha rasmi wageni na washiriki wote wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs Forum 2025) kitakachofanyika kuanzia Agosti 23 hadi 26 , 2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha AICC, jijini Arusha. Amesema…