Admin

WANAUME WAJITOKEZA KWA WINGI KUPATA MSAADA WA KISHERIA

Na WMJJWM, Njombe Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Dotto Biteko amesema kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wanaume katika kutafuta msaada wa kisheria kuliko wanawake. Ameyasema hayo wakati akizindua Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign), mkoani Njombe Mei 26, 2024. Mhe. Biteko amesema tangu kuanza…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UAPISHO WA RAIS WA COMORO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 26 Mei 2024 amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Sherehe za Uapisho wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro Mhe. Azali Assoumani zilizofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Malouzini uliopo Moroni nchini Comoro. Katika hafla hiyo Makamu…

Read More

Kasekenya aipa Tanroads wiki kukarabati barabara Morogoro

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ametoa wiki moja kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Morogoro kuhakikisha anarudisha mawasiliano ya barabara kati ya wilaya ya Ifakara na Malinyi katika kijiji cha Misegese, mkoani humo ili kuruhusu magari kupita baada ya daraja la Mto Fulua kuharibika kutokana na mafuriko. Anaripoti Mwandishi Wetu…

Read More

Zaidi ya watu 8,000 wamehama hifadhi ya Ngorongoro

Ngorongoro. Serikali imesema hadi sasa kaya 1,373 zenye jumla ya watu 8,364 waliokuwa na makazi ndani ya eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamehama kwa hiari kutoka eneo hilo na kwenda Msomera na maeneo mengine nchini. Vilevile, imeeleza kuwa haijasitisha baadhi ya huduma muhimu zikiwemo za elimu na afya katika maeneo ambayo bado…

Read More

Madiwani wamuondoa mbunge kwenye ardhi aliyodaiwa kuvamia

Mtwara. Baraza la Madiwani Manispaa ya Mtwara Mikindani, limebatilisha uhalali wa umiliki wa kiwanja katika eneo la Shangani Mashariki linalotajwa kumilikiwa na mbunge wa Mtwara Mjini, Hassan Mtenga baada ya kamati ya kudumu ya mipango miji, ardhi na ujenzi kujiridhisha kuwa eneo hilo ni mali ya halmashauri hiyo. Akitoa maagizo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa…

Read More