SHULE YA SEKONDARI BARBRO JOHANSSON YAZINDUA HARAMBEE YA UJENZI WA JENGO LA TEHAMA
Mwenyekiti wa Taasisi ya Joha Trust inayomiliki Shule ya Sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson, Profesa Anna Tibaijuka, akizunguma wakati wa mahafali ya 18 ya Kitado cha Sita na uzinduzi wa harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa jengo la Tehama lenye thamani ya sh bilioni 1.4. Hafla hiyo ilifanyika Jijini Dar es Salaam Mei…