Yaliyojiri mzunguko wa 29 Ligi Kuu Bara
Yanga imekabidhiwa taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa staili ya aina yake kwa kombe hilo kushushwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jana kwa chopa, tukio ambalo halikuwahi kufanyika katika ligi hiyo misimu iliyopita, huku ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United. Tukio hilo hapana shaka ndilo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu…