Admin

Mtibwa Sugar yaaga rasmi Ligi Kuu Bara

MABINGWA wa zamani wa Tanzania msimu wa 1999 na 2000, Mtibwa Sugar imeshuka rasmi jana baada ya kufumuliwa mabao 3-2 na Mashujaa katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Mtibwa iliyoanzishwa mwaka 1988 na kupanda Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) 1996, imeshuka kutokana na kusaliwa na pointi 21 ikiwa na…

Read More

Kili Challenge 2024 yanzinduliwa, mafanikio yake yatajwa

*TACAIDS yawashukuru wadau wanaoungana na serikali katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya VVU Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kampeni maarufu ya kuchangisha fedha za UKIMWI ya Kili Challenge imezinduliwa kwa mwaka 2024 ikitarajiwa kukusanya Shilingi Bilioni mbili. Ikumbukwe kuwa Kampeni ya Kili Challenge huratibiwa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mine Limited (GGML) kwa kushirikiana…

Read More

NBAA YAWAFIKIA TANGA – MICHUZI BLOG

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inawakaribisha wananchi kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu mwaka 2024 yenye kauli mbiu isemayo “Elimu, ujuzi na ubunifu kwa uchumi shindani” yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Akizungumza na Michuzi Blog, Afisa Uhusiano na Mawasiliano Magreth Kageya amesema wanatoa…

Read More

Uhusiano kati ya CCM, CPC fursa ya kutangaza utalii

Unguja. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema kuimarika kwa uhusiano wa kisiasa na kiuchumi kati ya chama hicho na Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ni fursa kwa Zanzibar kutangaza sekta ya utalii kimataifa. Amesema hayo katika mazungumzo na ujumbe maalumu wa CPC yaliyofanyika ofisini kwake Kisiwandui,…

Read More

WASOMI,WANADIPLOMASIA WATAJA YATAKAYOFANIKISHA ULINZI,USALAMA AFRIKA…VIJANA WATAJWA

    Na Said Mwishehe, Michuzi TV WASOMI wa kada mbalimbali pamoja na wabobezi wa masuala ya ulinzi, Usalama pamoja na Diplomasia katika Bara la Afrika wameelezea mambo muhimu yanayoweza kusaidia katika harakati za kuimarisha amani katika Bara hilo yakiwemo ya kuwashirikisha vijana. Wakizungumza katika Kongamano maalumu lililoandaliwa na Uongozi Institute kujadili masuala ya ulinzi…

Read More