NEMC na ofisi ya maabara ya Mkemia mkuu wa serikali watoa elimu ya matumizi ya Zebaki
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na Ofisi ya maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali pamoja na Ofisi ya Tume ya Madini Mkoa wa Mbeya watoa mafunzo ya matumizi salama ya kemikali ya zebaki kwa Wachimbaji wadogo wa madini wa Kata ya Saza, Kijiji cha Patamela Wilaya ya Songwe…