Admin

DC ahimiza matumizi ya pedi yazingatie uhifadhi wa mazingira

Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa amewataka wadau wa hedhi salama, kuhamasisha jamii juu ya matumizi ya taulo za kike (pedi) kwa kuzingatia usafi, uhifadhi na utunzaji wa mazingira. Amesema kuwa baadhi ya taulo za kike hasa zinazotumika kutupa zimekuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira. Mtahengerwa ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 katika…

Read More

Rubani mtarajiwa Tusiime awashangaza wazazi

Wanafunzi wa awali wa shule ya msingi Tusiime jijini Dar es Salaam walioonyesha kama marubani na wahudumu wa ndege wakati wa maonyesho ya kutengeneza vitu mbali mbali shuleni hapo   Watu wakiangalia shanga zilizotengenezwa  na wanafunzi wa shule ya awali Tusiime Tabata Magengeni Na Mwandishi Wetu WAZAZI walioshiriki siku ya taaluma na maonyesho ya shule…

Read More

Kwa Mkapa kumenoga | Mwanaspoti

ZIKIWA zimesalia saa tatu tu ili mechi muhimu kati ya Yanga na Tabora United ichezwe, mashabiki nao hawapo nyuma. Yanga leo inaikaribisha Tabora United katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwa ni mechi ya 29 katika ligi msimu huu, ikiwa imebakiza mchezo mmoja mkononi katika mechi itakayoanza saa 10:00 jioni. Wanajangwani hao watakabidhiwa ubingwa wa Ligi…

Read More

Wanne wadakwa kwa kusafirisha punda 46 nje ya nchi

Jeshi la Polisi kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Longido mkoa wa Arusha limewakamata watuhumiwa wanne pamoja na mifugo aina ya punda 46 wakisafirishwa kinyume na taratibu kwenda nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Jumamosi na Kamanda wa…

Read More

Wawakilishi wataka ukarabati wa shule kongwe

Unguja. Licha ya mafanikio ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa kujenga shule mpya za kisasa, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema kuna haja ya kuzifanyia ukarabati mkubwa za zamani ili kuleta usawa kwa wanafunzi. Pia wameitaka wizara kutoa ufafanuzi kuhusu miongozo wanayotumia kuita majina shule zinazojengwa,  kwani huenda majina ya asili yakapotea…

Read More

Chopa ya Yanga yaliamsha kwa Mkapa

Wakati mashabiki wa Yanga wakiendelea kufurika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, juu angani kuna burudani ya aina yake inaendelea. Nje ya uwanja, kuna mistari na mashabiki wanaingia uwanjani na wengine wakiwa ndani tayari, lakini ile chopa ya Yanga nayo imekatiza hapa uwanjani na kuibua shangwe. Chopa hiyo imezunguka mara mbili mbili juu ya eneo la…

Read More

DC James: Badala ya kupishana kusikiliza kero, tuzitatue

Iringa.  Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James amesema badala ya kufanya ziara za kusikiliza malalamiko, watendaji wa Serikali kwenye wilaya hiyo wana jukumu la kuhakikisha wanatoa huduma zinazomaliza kero hizo. Amesema ukiona wananchi wanajazana uwanjani kutoa kero zao maana yake kuna baadhi ya watendaji hawatekelezi wajibu wao ipasavyo. Akizungumza kwenye Baraza la Madiwani wa…

Read More

WAAFRIKA KULINDA KILIMO NA AFYA YA UDONGO

NA. MWANDISHI WETU . Leo Mei 25,2024, ikiwa ni siku ya Afrika,tujadili hili la kilimo na usalama wa udongo Afrika, athari zake bila kusahau utatuzi wake. Lugha ya sokoni kati ya wauzaji na wanunuzi katika masoko ya kawaida ya watu wa hali ya chini wanaoishi chini ya dola mbili kwa siku barani Afrika sasa hawaongei…

Read More