Admin

‘Aliyemtonya’ Lissu kuhusu rushwa arejea madarakani

Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Iringa, William Mungai ametetea nafasi yake baada ya kuzoa kura 45 dhidi ya kura 34 ambazo mpinzani wake, Emmanuel Chengule amepata. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mungai ameshinda uchaguzi huo uliofanyika jana Ijumaa mjini Iringa katika Kikao cha Baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa kilichoketi na kuwachagua viongozi…

Read More

Dereva mbaroni kwa kusababisha ajali Moro

Morogoro. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro Alex Mkama amesema wanamshikilia dereva wa basi la Shabiby namba T341 EEU, Said Malugula mkazi wa Dar es salaam baada ya kusababisha ajali iliyotokea saa 12:20 asubuhi ya leo Mei 25,2024 eneo la Kihonda kwa Chambo. Gari hilo lilikuwa likitokea Morogoro kuelekea mkoani Dodoma.Akizungumza na Mwananchi…

Read More

Mwenyekiti AU akerwa na uporaji chaguzi za Afrika

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika,  Moussa Faki amesema miongoni mwa viashiria vya kuvunjika kwa amani barani Afrika ni nchi wanachama kutozingatia matakwa ya kidemokrasia ya kuwa na chaguzi huru na za haki. Amesema licha ya kuwa na Baraza la Amani na Usalama (PSC), AU haina uwezo wa kuziwekea vikwazo nchi…

Read More

Tutaendelea kupigania malengo ya afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema dhamira ya Tanzania ni kukuza na kuendeleza amani na usalama barani Afrika ili kukuza na kuendeleza maendeleo ya kiuchumi kwa jamii na bara zima la Afrika. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Samia ametoa kauli hiyo leo Jumamosi wakati akifungua maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza…

Read More

Wawekezaji Sekta ya Madini wawekewa mkakati wa kufadhili wanafunzi wa ufundi stadi

Baadhi ya wanafunzi wa VETA walioshiriki katika mkutano wa Madini. Na Mwandishi Wetu Wawekezaji Sekta ya Madini wameelekezwa kutoa ufadhili kwa wanafunzi wanaosoma fani zinazohusu madini katika vyuo vya ufundi nchini ikiwemo vyuo vya VETA. Maelekezo hayo yametolewa leo, tarehe 24 Mei, 2024 na Naibu Waziri wa Madini, Mheshimiwa Dkt Steven Lemomo Kiruswa, alipokuwa akifunga…

Read More

Mlandege yanyooshwa, Mafunzo yabanwa Zenji

NDOTO za Mlandege kumaliza katika nafasi ya nne zimefikia tamati baada ya jana jioni kukandwa bao 1-0 na Uhamiaji, huku Mafunzo ikibanwa nyumbani na Hard Rock katika mfululizo wa mechi za lala salama za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Mlandege ilikumbana na kipigo hicho cha saba kwa msimu huu kwenye Uwanja wa Mao A, huku Maafande…

Read More

Coastal Union, JKT Tanzania mechi ya nafasi

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata Coastal Union dhidi ya Kagera ugenini, leo Mei 25 itakuwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga kuikaribisha JKT Tanzania. JKT Tanzania Mchezo huo utakaozikutanisha timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya awali Coastal kuondoka na pointi tatu dhidi ya wanajeshi wa JKT. Coastal ipo nafasi…

Read More