Admin

Mugalu afichua kinachoitesa Simba | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kipo jijini Arusha na kesho jioni kitashuka  katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuikabili KMC katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku straika wa zamani wa Wekundu hao, Chris Mugalu akivunja ukimya na kufichua kitu kinachowatafuna kwa mitatu mfululizo sasa. Mugalu aliyeichezea Simba kwa misimu miwili kuanzia 2020-2022 na kutwaa matatu matatu tofauti…

Read More

TARURA YAANZA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MVUA – MALINYI

Na Mwandishi Wetu, Malinyi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa la kurekebisha haraka barabara zilizokatika wilayani Malinyi ili kurejesha huduma kwa wananchi. Naibu Katibu Mkuu anayesimamia miundombinu OR-TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila amefika eneo lililoathiriwa na mvua na…

Read More

Kilichojificha mauaji ya Penina Goba

Dar es Salaam. Mauaji ya Penina Method, mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam yanaongeza orodha ya matukio ya wenza kuuawa kutokana na kinachoelezwa kuwa, wivu wa mapenzi.  Penina (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa panga chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hilo linalodaiwa kutendwa na mpenzi wake Joseph…

Read More

RC PWANI :WANYE VIWANDA PWANI TUMIENI WAANDISHI WA MKOA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge  akisisitiza jambo katika mkutano  huoKamanda  wa Jeshi la Zimamoto Mkoa  wa Pwani Jennifer Shirima akitoa mada   kwa waandishi wa habari  na wadau wa habari kuhusu umuhimu  wa kuwahi kutoa taarifa za majanga ya moto na ajali  pindi zinapotokea. Baadhi ya waandishi wa habari Mkoa wa Pwani wakiwa…

Read More

Gamondi ashindwa kujizuia kwa Maxi 

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameshindwa kujizuia kwa kumtaja kiungo Maxi Nzengeli, kuwa ni miongoni mwa wachezaji waliokibeba kikosi hicho msimu huu, tofauti na mitazamo ya wengi. Maxi alisajiliwa na Yanga msimu huu akitokea AS Maniema Union ya DR Congo na kuwa mmoja wa nyota walioshiriki kwa kiasi kikubwa kuiwezesha timu hiyo kutetea ubingwa wa…

Read More