Admin

KAMPUNI YA HEINEKEN YAUNGANA NA KAMPUNI YA DISTELL, KUSHEHEREKEA MEI 25, 2024 JIJINI DAR

Meneja Mkazi hapa nchini wa kampuni ya HEINEKEN, Obabiyi Fagade, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Saam leo Mei 22, 2024. akizungumzia kampuni hiyo kuwa imeshakamilisha Manunuzi ya Kampuni ya Distell Group Holdings Limited (‘ Distell’) na Namibia Breweries Limited (‘NBL’). Kulia ni Meneja Masoko wa Heineken nchini, Lilian Pascal na kushoto ni  Meneja…

Read More

Mabadiliko ya Sheria ya Madini yawabeba Watanzania – Mavunde

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MABADILIKO ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha watanzania wananufaika na rasilimali madini. Hayo yamesemwa leo Mei 22, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, katika ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini  linaloendelea…

Read More

Sababu madini ya vito kuporomoka

Dar es Salaam. Kubadilika kwa soko, hali ya kiuchumi na mvua nyingi, zinatajwa kuwa sababu za kushuka kwa thamani ya madini ya vito. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya tathmini ya hali wa kikanda ya Desemba 2023. Ripoti inataja almasi, tanzanite na madini mengine ya vito kuwa  mauzo yake yameshuka kwa zaidi ya asilimia…

Read More

Jaji Mkuu, DPP watoa miongozo kesi za Plea Bargaining

SERIKALI imetunga kanuni na miongozo mipya kuhusu uendeshaji mashauri yanayomalizika kwa mshtakiwa kukiri kosa (Plea Bargaining), ili kumaliza changamoto zake zilizoibuliwa na wadau tangu utaratibu huo uanze kufanya kazi 2019. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 22 Mei 2024, bungeni jijini Dodoma na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi, baada…

Read More

Benki ya NMB yatoa msaada wa pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi milioni 65 kwa mkoa wa Arusha, yajizatiti kuendeleza sekta ya utalii

.      Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 65 zitakazosaidia kuimarisha ulinzi mkoani Arusha. Mchango huo ambao umetolewa kwa Jeshi la Polisi mkoani humo unaendana na mpango mkakati wa benki hiyo wa kuendeleza sekta ya utalii unaolenga kuimarisha mifumo endelevu ya ikolojia ya utalii….

Read More

TDB yahimiza unywaji maziwa yaliyothibitishwa kuepuka maambukizi ya magonjwa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) imewataka Watanzania kuacha kununua maziwa kiholela badala yake wanunue yaliyothibishwa ubora kuepuka maambukizi ya magonjwa kutoka kwa wanyama. Kulingana na bodi hiyo magonjwa yanayoweza kusababishwa kwa kunywa maziwa yasiyo salama ni pamoja na Kifua Kikuu, magonjwa ya kuharisha na Brucella ambao unafanana kwa karibu na…

Read More

Dk Bagonza: Hata viongozi wa dini wanahitaji msaada

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na mjadala kuhusu matukio ya hivi karibuni ya watumishi wa Mungu kujiua, viongozi wa dini wameeleza wao pia ni binadamu wenye changamoto zinazowakabili, hivyo isionekane ajabu wanapohitaji msaada. Viongozi hao wameweka bayana kama ilivyo kwa binadamu wengine hata wao kuna wakati hupata msongo wa mawazo, hivyo ni muhimu kukawa na…

Read More