Admin

WANANCHI MBOPO WAMPONGEZA RAIS SAMIA,WAZUNGUMZIA MAJI

Na Emmanuel Masaka, Michuzi TV MWENYEKITI wa Serikali za Mtaa Mbopo wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam Mohamed Bushir amempongeza Rais Dk Samia Suluhu Hassan kutokana na kutoa fedha za Miradi ya maendeleo katika Kata hiyo.Akizungumza baada ya kufanyika mkutano wa wananchi uliokuwa unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo pamoja na utatuzi wa migogoro ya aridhi…

Read More

Watu wapatao 85 wauwawa mjini El-Fasher Sudan – DW – 22.05.2024

Mkuu wa programu ya dharura yashirika la Madaktari wasio na mipakanchini Sudan, Claire Nicolet, amesema siku ya Jumatatu pekee waathiriwa tisa kati ya 60 waliopokelewa katika hospitali hiyo kwa jina Southern Hospital, kwa ajili ya matibabu, walikuwa wamekufa kutokana na majeraha waliyokuwa wameyapata. Claire ameongeza kusema katika kipindi cha tangu mapigano yalipozuka katika mji mkuu…

Read More

Ahueni mawasiliano Kilwa Masoko – Liwale yakirejea

Liwale. Mawasiliano yaliyokatika kati ya wilaya za Kilwa Masoko na Liwale mkoani Lindi yamerejeshwa baada ya ukarabati wa daraja la muda katika Mto Zinga. Kukatika kwa daraja hilo ambalo pia linaunganisha vijiji vya Zinga na Miguruwe mbali ya kuathiri shughuli za usafirishaji, liliathiri masomo kwa wanafunzi waliolazimika kupita ndani ya maji ili kuifikia shule. Mawasiliano…

Read More

Vikosi ya Ukraine vyapiga hatua dhidi ya adui – DW – 22.05.2024

Katika hotuba yake kwa taifa Jumanne jioni, Zelensky amesema vikosi vya nchi hiyo katika eneo la Kharkiv,vinaendelea kupata ufanisi dhidi ya adui lakini akaonya hali upande wa mashariki karibu na miji ya Pokrovsk, Kramatorsk na Kurakhove imesalia kuwa “ngumu sana”. Zelensky ameongeza kusema mapigano zaidi yanaendelea katika eneo hilo. Soma pia:Zelensky anatarajia Urusi itaimarisha mashambulizi…

Read More

Fainali FA kupigwa New Amaan Stadium, Zanzibar

Mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga dhidi ya Azam FC sasa utapigwa Juni 2, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar badala ya ule wa Tanzanite ulioko Babati, Manyara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa hiyo ambayo uamuzi wa kubadilisha uwanja umefanywa na kamati ya utendaji ya shirikisho…

Read More