WANANCHI MBOPO WAMPONGEZA RAIS SAMIA,WAZUNGUMZIA MAJI
Na Emmanuel Masaka, Michuzi TV MWENYEKITI wa Serikali za Mtaa Mbopo wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam Mohamed Bushir amempongeza Rais Dk Samia Suluhu Hassan kutokana na kutoa fedha za Miradi ya maendeleo katika Kata hiyo.Akizungumza baada ya kufanyika mkutano wa wananchi uliokuwa unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo pamoja na utatuzi wa migogoro ya aridhi…