Majadiliano DPP, bosi Jatu hayajakamilika
Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na majadiliano ya maridhiano ya kukiri kosa katika kesi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya. Gasaya (33), anakabiliwa na makosa mawili katika kesi ya uhujumu uchumi, akidaiwa kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka Saccos ya Jatu kwa madai kuwa…