Admin

MHANDISI JOYCE KISAMO WA WIZARA YA NISHATI ATWAA TUZO YA KIMATAIFA YA LUCE 2024

  Mhandisi. Joyce Kisamo akiwa mwenyefuraha baada ya kukabidhiwa TUZO ya LUCE ya mwanamke aliyefanya vizuri katika nishati, mazingira na sekta endelevu (Legacy Women Category).   ๐Ÿ”ดNi  Tuzo ya kutambua mchango wa mwanamke aliyefanya vizuri katika nishati, mazingira na sekta endelevu Ni tu Na. Mwandishi wetuMtanzania Mha. Joyce Kisamo kutoka Wizara ya Nishati amekua muafrika wa pili kutwaa…

Read More

KMC yaichapa Singida FG, yaisogelea Coastal Union

BAO la Ibrahim Elias dakika ya 20 akimalizia vizuri pasi ya Wazir Junior, limetosha kuipa ushindi KMC wa 1-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa, ilishuhudiwa nafasi nyingi zikitengenezwa kila upande lakini ilikuwa ngumu kutumiwa…

Read More