Admin

Wanawake wanufaika wa Tasaf wafungua kiwanda cha kusaga karanga

Mwanza. Wanawake 15 wa kikundi cha Wasikivu katika Mtaa wa Kabangaja, Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, wameazisha kiwanda kidogo cha kukaanga na kusaga karanga pamoja na kutengeneza sabuni, baada ya kuwezeshwa mtaji wa Sh11.5 milioni kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (Tasaf). Kikundi hicho, chenye wanachama wote wanawake na walengwa wa mpango huo, kilianzishwa mwaka…

Read More

Chadema yamtilia shaka Mwakilishi UN

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha wasiwasi wa kuwepo kwa mgongano wa masilahi dhidi ya Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN), Parfait Onanga-Anyanga, aliyetumwa kuzungumza na makundi mbalimbali nchini kuhusu matukio ya Oktoba 29. Onanga-Anyanga, amefanya ziara hiyo Machi 8 hadi 12, mwaka huu na kuzungumza na wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi…

Read More