Serikali yagawa hati 580 za kimila kwa wananchi wa Sikonge
Tabora. Serikali imetoa jumla ya hati 580 za hakimiliki za kimila kwa wananchi wa Kijiji cha Makibo, Kata ya Nyahua, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, kupitia Mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo (DSL-IP), unaoratibiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS). Hatua hiyo inalenga kuimarisha usalama wa milki za ardhi, kupunguza migogoro…