Admin

Mapishi ya pamoja yanavyokoleza upendo, ndoa imara

Dar es Salaam. Ndoa ni mwanzo wa safari ya pamoja, ambapo kila kipande cha maisha hukusanyika ili kuunda historia ya pendo, uaminifu, na mshikamano wa kipekee. Lakini kadiri siku zinavyosonga, changamoto za kila siku, kazi, watoto, au shinikizo la kifedha mara nyingi hujaribu kupunguza joto la uhusiano.  Ni katika muktadha huu ambapo mpishi hodari au…

Read More

Hatua muhimu za kumchagulia mtoto shule sahihi

Dar es Salaam. Katika pitapita zangu huku mitaani, kila karibu kila mzazi ninayekutana naye na kufanya naye mazungumzo hususan wale wenye watoto wanaosoma na wanaotarajia kuanza shule, mazungumzo yao ni jinsi wanavyohangaika kupata shule nzuri kwa ajili ya watoto wao. Nikawa najaribu kurudisha nyuma enzi mimi nasoma na ndugu zangu, namna wazazi wangu walivyokuwa wanahangaika…

Read More

Baada ya kuzaa sitamani kurudi kazini, nifanyeje?

Dar es Salaam.  Nimekaa likizo ya uzazi ya miezi mitatu cha kushangaza baada ya kumaliza sitamani kufanya kazi, muda mwingi natamani nibaki nyumbani nicheze na mtoto wangu. Kila nikijitahidi nashindwa nahisi kabisa nitapoteza kazi. Nishauri nifanye nini ili niwe sawa nirudi kazini kama ilivyokuwa zamani. Baada ya likizo ya uzazi, wanawake wengi hupitia mabadiliko makubwa…

Read More

BURIANI JENISTA MHAGAMA – MICHUZI BLOG

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) John Mongella, wakitoa heshima za mwisho kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Mhe. Jenista Joakim Mhagama, mara baada ya ibada, leo Jumamosi, tarehe 13 Desemba 2025.   Shughuli ya utoaji wa heshima za mwisho…

Read More

Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta wa Miamala

Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni inayoendelea ya Masta wa Miamala. Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana na semina kwa vijana kutoka taasisi mbalimbali, Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Stanbic, Emmanuel Mahodanga alisema “Kampeni hii ya miezi mitatu inalenga kuongeza matumizi ya njia mbalimbali za malipo…

Read More

Hersi kushiriki kongamano la FIFA, Qatar leo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Umoja wa Klabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa wataalam watakaofundisha kwenye kongamano kubwa la mpira wa miguu litakalofanyika Doha, Qatar, kesho Jumapili, Desemba 14, 2025. Katika kongamano hilo, Hersi amepangiwa na FIFA kufundisha kwenye mada…

Read More