Mradi wa umeme jua Shinyanga waingizwa gridi ya taifa
Shinyanga. Awamu ya kwanza ya mradi wa umeme jua katika Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imekamilika kwa asilimia 95.5 ikiwa sehemu ya mpango wa kupunguza changamoto ya umeme katika mkoa huo na mingine ya Kanda ya Kiwa. Hayo yameelezwa na leo Machi 13, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la umeme Tanzania (Tanesco) Lazaro Twange…