Rushwa barabarani bado mwiba | Mwananchi
Dar es Salaam. Licha ya hatua na marufuku zilizowahi kutolewa na Serikali dhidi ya rushwa barabarani, vitendo hivyo vimeendelea kuota mizizi kwa askari wa usalama barabarani na madereva. Madereva wa magari hasa ya biashara wanakiri kutoa rushwa kwa askari hao wakisema imeshageuka kuwa mfumo wa maisha ya kazi yao na kuna athari ukiiepuka kuliko kujihusisha…