Admin

Mradi wa umeme jua Shinyanga waingizwa gridi ya taifa

Shinyanga. Awamu ya kwanza ya mradi wa umeme jua katika Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imekamilika kwa asilimia 95.5 ikiwa sehemu ya mpango wa kupunguza changamoto ya umeme katika mkoa huo na mingine ya Kanda ya Kiwa. Hayo yameelezwa na leo Machi 13, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la umeme Tanzania (Tanesco) Lazaro Twange…

Read More

Ngoy awekewa mkataba mpya Namungo

WAWAKILISHI wa mshambuliaji wa Namungo FC, Mkongomani, Fabrice Ngoy wamepokea mkataba mpya kutoka kwa uongozi wa kikosi hicho cha Wauaji wa Kusini ambao wanataka wakamilishe dili hilo mapema, kabla ya msimu huu wa 2025-2026, haujaisha. Mshambuliaji huyo aliyeitumikia Namungo kwa misimu mitatu, mkataba wake wa sasa unafikia ukomo mwishoni mwa msimu huu wa 2025-2026, ambapo…

Read More

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA PROF. ADOLF MKENDA AUPONGEZA UONGOZI WA MKINGA KUTENGA ENEO LA MJINI WA WANAZUONI GOMBERA

****** Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda ameupongeza uongozi Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kupitia Mwenyekiti wake Mhe.Amani Juma Kasinga kwa kutenga eneo la kujenga mji wa wanazuoni katika eneo hilo. Akizungumza mara baada ya kukamilisha ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo katika kampasi ya…

Read More

Hali Ya Hofu Dubai, Watalii Waondoka Baada ya Mashambulizi

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Jiji la Dubai limeanza kuonekana kama mji uliotelekezwa baada ya maelfu ya wakazi na wageni kuondoka kufuatia mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani yanayodaiwa kutoka Iran. Ripoti zinaeleza kuwa maeneo maarufu ya mapumziko kama Jumeirah Beach na hoteli za kifahari kwenye Palm Jumeirah yamebaki tupu, huku…

Read More

Dk Mwigulu alivyoshughulikia fidia ya mkazi Mpanda

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amegeuka mbogo baada ya mkazi wa Mpanda mkoani Katavi, Jonathan Kayanda kumweleza hajalipwa fidia licha ya tathimini kufanyika miaka mitatu iliyopita. Tukio hilo limetokea leo Ijumaa Machi 13, 2026, muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara Kwagira-Karema yenye urefu wa Kilomita 112…

Read More

New Stone na mtego wa kuepuka kushuka daraja ZPL

LICHA ya timu ya New Stone Town kuvuna alama tatu kwenye michezo 20 iliyocheza, bado ina matumaini ya kubaki salama katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), huku hesabu zao ni kushinda mechi 10 zilizobaki. Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mussa Bajaka alisema endapo watashinda mechi hizo, watakuwa na alama 33 katika msimamo, ambao utawapandisha nafasi za…

Read More

Maandalizi ya sikukuu yapamba moto, bei za bidhaa zachangamka

Dar/Mikoani. Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla za sikukuu ya Eid al-Fitr na Pasaka, hekaheka za maandalizi zimeanza kuonekana wazi katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo soko maarufu la Kariakoo jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya watu wameanza kumiminika madukani kununua mahitaji ya sikukuu, hususan nguo na viatu kwa ajili ya watoto na familia zao. Wazazi…

Read More

Migogoro ya ardhi yatikisa ziara ya Kihongosi

Mwanza. Migogoro ya ardhi imekuwa fupa gumu kwenye Jiji la Mwanza huku wilaya za Ilemela na Nyamagana zikidaiwa Sh14 bilioni za fidia na wananchi. Hayo yamebainika kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi katika ziara yake ya kichama mkoani humo. Katika mkutano huo uliofanyika…

Read More

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAIPONGEZA TANESCO UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME JUA KISHAPU

:::::::: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa Mradi wa Uzalishaji Umeme kwa nguvu ya Jua wa Kishapu wenye uwezo wa Megawati 50 unaotekelezwa katika Mkoa wa Shinyanga. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Subira Mgallu, mara baada…

Read More