DRC yawazika watu waliouawa kambi ya wakimbizi – DW – 15.05.2024
Ilikuwa siku yenye shughuli nyingi sana mjini Goma, ambapo shughuli zilibaki zimesimama katika nusu ya mji. Mji wote ulikuwa umeshiriki kwa ajili ya kutoa heshima kwa watu hawa waliouawa kikatili na mabomu ya uasi wa M23. Wakati miili ya waathirika ilipokuwa ikipangwa kwa ajili ya shughuli za heshima, waandamanaji wa harakati za raia walitumia fursa…