SADC yazindua kanzidata ya dawa SMD
Dar es Salaam. Kanzi data ya dawa kwa ajili ya nchi wanachama wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC), Med Database SMD imeanzishwa ili kusaidia kila nchi kupata taarifa ya bei ya bidhaa za afya wakati wa kufanya ununuzi. Hatua hiyo imefuata baada ya mawaziri wa afya wa SADC, kuridhia taarifa ya mshauri…