Admin

Tumejiandaa vipi kuufunga mlango wa Fei na Dube

NILILIONA pengo la Prince Dube katika pambano la Azam dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es salaam Alhamisi jioni halafu baadaye ikawa usiku. Azam walikosa mabao kadhaa ya wazi katika pambano hilo. Dube alikuwa wapi? sijui. Mara ya mwisho nilikutana naye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dar es salaam. wote tulikuwa…

Read More

NBC yatoa vifaa tiba hospitali ya Mpitimbi Songea

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa misaada ya vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya Sh. 11.5 milioni kusaidia kuboresha huduma za afya katika Hospitali ya Mpitimbi, Songea Mkoani Ruvuma. Vifaa hivyo ni kitanda cha kujifungulia 1, vitanda vya wagonjwa 15, magodoro 15, madawa na vifaa tiba. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Vifaa tiba…

Read More

LUHEMEJA AOMBA MFUKO MABADILIKO TABIANCHI KUIPATIA FEDHA TANZANIA.

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu, Mhandisi Cyprian Luhemeja ametoa wito kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi (Adaptation Fund) kuendelea kuipatia fedha Tanzania kwa ajili ya kuendelea kutekeleza miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi inayotekelezwa maeneo nchini. Mhandisi Luhemeja amesema hayo leo Jumatatu (Mei 13, 2024) Jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano wa kubadilishana…

Read More

Meridianbet weka pesa na Airtel Money utoboe kibingwa  

  Meridianbet na Airtel Money waja na promosheni mahususi kwa ajiri ya mabingwa wote wanaotumia airtel, hii ni kwa wote wateja wapya na wale walipo ukitaka kutafuta tobo la mabingwa basi meridianbet tumekutobolea tobo la kutoboa kibingwa. Kila siku mabingwa wanapatikana ndani miezi mitatu hata wewe unaweza kuwa bingwa, mashujaa wanafurahia kutoboa kibingwa na meridianbet…

Read More

Benki ya NBC Yazindua Kadi Uanachama Msalaba Mwekundu, Dkt Biteko Aguswa na jitihada zake ufanikishaji miradi mikubwa.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuunga mkono jitihada za serikali katika kuongeza ujumuifu katika huduma za kifedha (financial inclusion) sambamba na kusaidia ufanikishaji wa miradi mikubwa ya kitaifa ukiwemo ujenzi wa miundombinu ya maji Mkoani Tanga kupitia hati fungani ya kijani…

Read More