WAZIRI JAFO AHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema nishati safi ya kupikia inajumuisha mbinu zote zinazomuwezesha mtu kuandaa chakula bila kuathiri misitu. Amesema hayo wakati akishiriki mjadala wa Nishati Safi ya Kupikia kwenye kipindi cha Mizani kilichorushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC1 tarehe 08 Mei, 2024…