WIZARA YA MAJI NAMBA MOJA DUNIANI KWA KAZI ZA MIRADI YA MAJI
UTENDAJI wa Wizara ya Maji na taasisi zake umeifanya kutambulika kimataifa ndani na nje ya bara la Afrika kwa kazi na utekelezaji wa miradi ya maji. Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema makubwa yaliyoitambulisha Wizara ya Maji ni pamoja na Programu ya Lipa kwa Matokeo (P4R) ambapo Tanzania imekuwa mfano kati ya nchi zaidi…