Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo kuandaa katazo la kupiga marufuku kwa taasisi zote zinazohudumia watu zaidi ya 100 kutotumia kuni na mkaa kuanzia Agosti mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endele). Rais Samia ametoa agizo hilo leo Jumatano jijini Dar es Salaam…