Admin

Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo kuandaa katazo la kupiga marufuku kwa taasisi zote zinazohudumia watu zaidi ya 100 kutotumia kuni na mkaa kuanzia Agosti mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endele). Rais Samia ametoa agizo hilo leo Jumatano jijini Dar es Salaam…

Read More

WANAFUNZI SAVANNAH PLAINS KUIWAKILISHA TANZANIA MASHINDANO YA UBINGWA WA DUNIA YA KUONGEA KWENYE HADHARA

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Savannah Plains iliyopo Ibadakuli katika Manispaa ya Shinyanga Mkoa wa Shinyanga nchini Tanzania wamesafiri kuelekea Jijini Nairobi nchini Kenya kushiriki Mashindano ya Ubingwa wa Dunia wa Mjadala na Kuongea kwenye hadhara kwa kutumia lugha ya Kiingereza (World Championship Debate and Public Speaking Tournaments)…

Read More

Mwendokasi Kigogo – Segerea kujengwa awamu ya 5

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Festo Dugange amesema ujenzi wa barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka ya Kigogo – Tabata Dampo hadi Segerea ni miongoni mwa barabara ambazo zimepangwa kujengwa  katika awamu ya tano ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dugange ametoa kauli hiyo leo…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kibu Denis ni mbadala wa Lomalisa?

Huenda Kibu Dennis ndiye mchezaji Bora msimu huu mzawa wa Simba na ambaye akikosekana, watu wanashika kichwa. Kibu ni aina ya wachezaji ambao kumwelekezea mtu, inahitaji muda wa kutosha. Mchezaji yoyote asiyekupa namba, inahitaji ujuzi kweli wa mambo kumwelezea. Kibu ana karibu kila kitu kinachohitajika kwa mchezaji, lakini hakupi namba. Hakuna mabao wala pasi za…

Read More

WAHITIMU JKT WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VIKUNDI VYA KIHALIFU

    MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 824 KJ Kanembwa wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akishuhudia kiapo cha utii cha…

Read More

DC Jamila aagiza maofisa wanne TRA Mpanda wachunguzwe

Mpanda. Mkuu  wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf ameiagiza Taasisi  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwachunguza maofisa wanne wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) wilayani humo kwa tuhuma za rushwa. Hata hivyo,  Meneja wa TRA, Mkoa wa Katavi, Nicholas Migere amesema hawezi kuzungumzia chochote kuhusu madai hayo kwa sababu…

Read More

BIL 1.1 ZA TANROADS ZAREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA NA MADARAJA YALIYOSOMBWA NA MVUA ZA EL-NINO – KATAVI

Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania  (TANROADS) Mkoani Katavi imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kufanya kazi ya matengenezo na kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyosombwa na maji ya mafuriko ya mvua kubwa za El-nino zilizonyesha kwa wingi mkoani humo tarehe 14 na 15 Aprili 2024. Meneja wa TANROADS Mkoa wa Katavi Martin A. Mwakabende amesema…

Read More

Mwanafunzi apotea, mwili wakutwa kwenye shimo la choo

Kibaha. Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Carisa, Angel John aliyepotea kwa siku moja amekutwa amekufa mwili ukiwa ndani ya shimo la choo. Shule hiyo ipo katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani. Angel (8), aliyekuwa akiishi Mwendapole, Kibaha alipotea Mei 6, 2024 baada ya kuondoka nyumbani kwao akimfuata dada yake…

Read More