Admin

Zitto na Othman wapania kuongoza dola 2025

Kigoma. Chama cha ACT Wazalendo kimeweka wazi mpango wa kuhakikisha katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kinampa nafasi Zitto Kabwe kuwa Rais wa Tanzania na Masoud Othman kushika wadhifa huo visiwani Zanzibar. Kabwe ambaye ni kiongozi mstaafu wa chama hicho, mara kadhaa amesikika akitangaza nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Kigoma Mjini alilowahi kuliongoza…

Read More

Pacha wa miezi mitano wafariki kwa kuungua moto Morogoro

Morogoro. Watoto wawili pacha wa miezi mitano, wamefariki dunia kwa kuungua moto wakiwa ndani ya nyumba. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto ya Uokoaji mkoani  Morogoro Shaban Marugujo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Marugujo amesema tukio hilo lilitokea Mei 4, 2024 saa 3 usiku ambapo watoto wawili pacha waliokuwa na umri wa miezi mitano walifariki kwa…

Read More

Aziz Ki ampiga bao Guede Tuzo ya Ligi Kuu

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Aprili wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024, huku kocha wake, Miguel Gamondi naye akibeba. Aziz Ki ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Kipre Junior wa Azam na Joseph Guede ambaye anacheza naye katika kikosi cha Yanga ambacho kinaongoza ligi. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

MSONDE AWATAKA WALIMU KUBUNI NYEZO KUTAMBUA UWEZO WA MWANAFUNZI

Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri masomo badala ya kuharakisha kumaliza mada (Topics). Dkt. Msonde amesema hayo wakati akizungumza na walimu wa shule mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Mbogwe katika…

Read More

Kwenye gofu ukilala njaa ni uzembe wako

KUNA watu wamegundua fursa zilizopo kwenye mchezo wa gofu na wameamua kupiga pesa, kutokana na mishe mbalimbali wanazozifanya, jambo kubwa lililowafanikisha hayo ni uthubutu na kutoona aibu. Mzuka wa gofu, kupitia gazeti la Mwanaspoti, limefanya mahojiano na Prosper Emmanuel anayesimulia mishe anazofanya nje na kucheza gofu, zinazompa pesa za kujikimu maisha yake. “Kwanza kama kijana…

Read More