Admin

UBALOZI WA MAREKANI KUENDELEZA MASHIRIKIANO NA CHUO CHA MIPANGO DODOMA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Michael Anthony Battle amesema Serikali yake itaendelea kuimarisha uhusiano wa kikazi na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) ili kuchochea kasi na juhudi ya Serikali ya Tanzania katika kutokomeza umaskini. Ameeleza kufurahishwa na namna ya kitaalamu na kizalendo ambayo chuo hicho kimekuwa kikitekeleza programu mbalimbali…

Read More

Kibu D, namba na hali halisi vinapotofautiana

SIJUI kama tutajua tufuate lipi katika soka la kisasa. Takwimu au macho yetu? Tangu tuanze kushika kompyuta zetu soka limeanza kutuchanganya. Tuamini katika lipi kati ya tunachokiona kwa macho au takwimu. Wiki iliyopita ilikuwa ya Kibu Dennis. Sijajua ukweli hadi sasa. Tulichosikia ni hajataka kusaini mkataba mpya pale Msimbazi na anataka kuondoka zake pindi msimu…

Read More

Tanzania  yasisitiza kuwa Kituo Kikuu cha Uchimbaji Madini Afrika

Tanzania imeendelea kusisitiza adhma yake ya kuwa kituo kikuu cha uchimbaji madini barani Afrika, kupitia  hatua zake mbalimbali za kimkakati na kiujumuishi ikiwemo sera zake zinazotoa motisha kwa wawekezaji sambamba mazingira bora ya uwekezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Dk. Steven Kiruswa, Naibu Waziri wa Madini, alitangaza dhamira hiyo wakati wa majadiliano kwenye Uzinduzi wa Mkutano…

Read More

Wakunga waeleza kinachoshusha morali ya kazi

Unguja. Licha ya wakunga kuwa watendaji wakuu wa kutoa huduma kwa mama na mtoto kwenye sekta ya afya, wamesema wanakabiliwa na changamoto nyingi, hivyo kushusha morali ya utendaji wao. Miongoni mwa changamoto hizo ni kushindwa kutambuliwa mchango wao wanapofanya vizuri, bali hupokea lawama wanapokosea kutokana na sababu za kibinadamu kama uchovu unaotokana na kufanya kazi…

Read More

MRADI WA KUENDELEZA LISHE NA UFUGAJI ENDELEVU WA VIUMBE MAJI KWA WAKULIMA WADOGO YAZINDULIWA MPITIMBI

Na Mwandishi Wetu – Songea Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe Jenista Mhagama amezindua Mradi wa kuendeleza lishe na ufugaji endelevu wa viumbe maji kwa wakulima wadogo (ARNSA) katika kijiji cha Mpitimbi kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini Mkoani Ruvuma Tarehe 4 Mei 2024….

Read More

Wafuga kuku wafundwa kufuga kisasa

Kagera. Wafugaji zaidi ya 400 kutoka wilaya saba za Mkoa wa Kagera wamepatiwa mafunzo ya ufugaji kuku wa kienyeji kwa njia za kisasa na kibiashara ili wapate tija na kuinua uchumi wao. Mafunzo hayo yamefanyika leo Jumapili Mei 5, 2024 na kampuni ya uzalishaji kuku na vifaranga ya Silverlands Tanzania Limited inayopatikana mkoani Iringa yakiwashirikisha…

Read More