LSF, Stanbic Tanzania kutekeleza miradi ya maendeleo
Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Legal Services Facility (LSF), kwa kushirikiana na Benki ya Stanbic Tanzania, zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutekeleza miradi ya maendeleo yenye lengo la kuwainua wanawake na wasichana kiuchumi, kielimu na kiafya. Mkataba huo wa miaka miwili unalenga kuweka juhudi na rasilimali za pamoja kati ya taasisi…