Admin

Serikali, kampuni za simu wabanwa kuzima intaneti

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kuzima Intaneti kwa siku saba kuanzia Oktoba 29, 2025 inazidi kupingwa baada ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na wanaharakati wamefungua kesi ya kikatiba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Hii inakuwa kesi ya pili baada ile iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)…

Read More

Dhamana ya Mwambe anayeshikiliwa polisi kusikilizwa leo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam, Kisutu, leo Jumatatu, Desemba 15, 2025 inasikiliza shauri la maombi ya dhamana ya waziri wa zamani, Geofrey Mwambe anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi, Dar es Salaam. Mwambe ambaye amewahi kuwa mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), mbunge wa Masasi, Mtwara (CCM), Waziri wa Nchi Ofisi…

Read More

Simba kunafukuta… Waarabu watia mkono

WAKATI hatima ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua aliyemaliza kinara wa mabao wa klabu na Ligi Kuu Bara msimu uliopita akifunga 16, ikiwa haijaeleweka kikosini humo, taarifa mpya kutoka Morocco zinaeleza matajiri wa Kiarabu wameanza kumpigia hesabu kumvuta. Ahoua ambaye ameshindwa kuendeleza makali aliyokuwa nayo msimu uliopita akiwa hana namba ya kudumu katika…

Read More

Mzize atibua mipango Yanga, viongozi wakuna vichwa

KIKOSI cha Yanga bado kipo mapumziko kupisha fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zinazoanza wikiendi hii huko Morocco, lakini kuna hesabu mpya ndani ya timu hiyo zinapigwa sasa ambazo zimelazimika kubadilishwa kutokana na maendeleo ya straika Clement Mzize. Mzize yupo nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na kuumia, japo hivi karibuni…

Read More

“MALIZENI MWAKA BILA MADENI YA KODI” CG MWENDA

 ::::::::: Walipakodi nchini wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya mapato awamu ya nne na kuwasilisha ritani za kodi ya ongezeko la thamani kwa wakati ili wamalize mwaka 2025 bila madeni ya kodi hali ambayo itawaepushia riba na adhabu. Rai hiyo imetolewa Desemba 12.2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw….

Read More

Padri Ngonyani: Jenista ni zawadi ya Mungu kwa maskini na wanyonge

Songea. Aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM),  marehemu Jenista Mhagama,  ametajwa kuwa zawadi ya Mungu kwa watu, hususan maskini, wasiojiweza na watu wenye ulemavu, kutokana na maisha yake ya kujitoa kwao bila kuchoka. Hayo yamesemwa leo, Jumapili, Desemba 14, 2025, kqtikq mahubiri yaliyotolewa na Padri Josephat Ngonyani wa Kanisa Katoliki Litapwasi,  wakati wa ibada takatifu ya…

Read More