Admin

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAIPONGEZA TANESCO UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME JUA KISHAPU

:::::::: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa Mradi wa Uzalishaji Umeme kwa nguvu ya Jua wa Kishapu wenye uwezo wa Megawati 50 unaotekelezwa katika Mkoa wa Shinyanga. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Subira Mgallu, mara baada…

Read More

VITONGOJI UKANDA WA NYASA VYAFIKIWA NA MIRADI YA REA

       ****** Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umeendelea kutekeleza miradi ya kupeleka huduma ya umeme katika maeneo ya vitongoji ili kuwawezesha wananchi waliopo maeneo hayo kupata huduma bora ya nishati ya umeme kwa ajili ya Maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.  Hayo yamebainishwa na Msimamizi wa Miradi ya REA, Kanda ya Nyanda za…

Read More

ZAIDI YA BILIONI 8 ZATUMIKA KUBORESHA MTANDAO WA BARABARA WILAYANI ARUMERU

📌Wanawake na Vijana  wajengewa uwezo ushirikishwaji wa vikundi  📌Barabara ya Zege yawa Mkombozi kwa wakazi wa Machumba-Nkoarua Arumeru Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) imeendelea kuboresha na kukamilisha ujenzi wa barabara mbalimbali katika Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha, hatua inayolenga kurahisisha usafiri na kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi….

Read More

RAIS MWINYI AJUMUIKA NA VIONGOZI,FAMILIA NA WANANCHI KATIKA MAZISHI YA NDUGU HAMZA KHAMIS

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi mbalimbali wa Serikali, wanafamilia pamoja na wananchi katika mazishi ya Ndugu Hamza Khamis Hamza, aliyefariki jana. Marehemu Hamza Khamis Hamza (75) amefariki jana alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Lumumba, Mkoa wa Mjini Magharibi. Mazishi hayo…

Read More