Admin

Mke wa Sumaye aibuka kidedea kortini

Kilimanjaro. Esther Frederick Sumaye ambaye ni mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameibuka kidedea katika kesi ardhi ya kugombea shamba namba 25 lililopo Madale eneo la Wazo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, Jaji Elinaza Luvanda wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi aliyesikiliza kesi hiyo namba 99 ya 2023…

Read More

Huku Fei Toto, kule Chama Kombe la Muungano

KUTOKANA na ubora wa viungo waliopo Azam FC na Simba, huenda mechi ya fainali ya Kombe la Muungano ikaamuliwa na wachezaji wa nafasi hizo, wakati timu hizo zitakapokutana Jumamosi hii kuanzia saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Azam FC inashiriki kwa mara ya kwanza michuano hiyo iliyokuwa imesimama kwa takribani miaka 20, tofauti…

Read More

Kalaba aruhusiwa kutoka hospitalini | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Zambia, Rainford Kalaba ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kujeruhiwa vibaya katika ajali ya gari mwanzoni mwa mwezi huu. Kiungo huyo wa zamani wa TP Mazembe, alikuwa akiendeshwa katika gari aina ya Mercedes-Benz iliyogongana uso kwa uso na lori katika tukio la kutatanisha ambalo awali ilihofiwa amepoteza maisha yake. “Bw.Rainford Kalaba ameruhusiwa…

Read More

Rais Samia asisitiza kutekeleza 4R katika Muungano

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika kutekeleza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 Watanzania hawana budi kutekekeleza kwa vitendo falsafa ya 4R. Tangu ameingia madarakani Machi 19, 2021 Rais Samia amekuwa na falsafa yake ya R nne (4R) anazozitumia katika utawala wake. 4R maana yake ni maridhiano (Reconciliation),…

Read More

Wazazi lawamani kuchukua baiskeli za wanafunzi za msaada

Geita.  Licha ya wanafunzi wa kike kuwezeshwa baiskeli kuhudhuria shule ili wasitembee umbali mrefu, imedaiwa kuwa wazazi na walezi hukwamisha jitihada hizo kwa kuzitumia kinyume na malengo. Akizungumza wakati akikabidhi baiskeli 550 kwa wanafunzi wa kike leo Ijumaa Aprili 26, 2024 zilizogharimu Sh180 milioni, Mkurugenzi wa Mradi wa Kuwawezesha Wasichana Rika Balehe Kuendelea na Masomo…

Read More

Vigogo 13 Chadema kikaangoni uchaguzi wa kanda

Dar es Salaam. Vigogo 13 wanaowania uenyekiti wa kanda nne kati ya  10 za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa sasa wanasubiri usaili ili kuteuliwa na kamati kuu baada ya mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu kukamilika. Kanda hizo ni Victoria, Magharibi, Nyasa na Serengeti zinazounda mikoa ya Mwanza, Geita, Kagera, Mara, Simiyu, Iringa,…

Read More