Asilimia 79 ya wanawake wanasiasa wamedhalilishwa mitandaoni
Dar es Salaam. Utafiti umebaini asilimia 79 ya wanasiasa wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii nchini Tanzania walidhalilishwa kwa kufanyiwa ukatili wa kijinsia wa aina mbalimbali kupitia mitandao yao ya kijamii. Udhalilishaji huo ni pamoja na ukiukwaji wa faragha za mtu, kuchafua sifa ya mtu, vitisho na vurugu za moja kwa moja, maneno na lugha ya…