Admin

Simbu, Gisemo kubeba mioyo ya Watanzania Tokyo

MATUMAINI ya Tanzania kuongeza medali ya tatu katika historia ya mashindano ya dunia ya riadha yapo mikononi mwa wanariadha wawili Aphonce Simbu na Josephat Gisemo watakaoshiriki kuanzia Septemba 13, mwaka huu, jijini Tokyo, Japan. Awali, Tanzania ilitarajia kupeperusha bendera kwa wanariadha wanne, lakini mipango hiyo ikayumba baada ya bingwa wa marathoni wa Wanawake, Magdalena Shauri…

Read More

Straika Majimaji ageukia udiwani | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani Majimaji, Stand United, Alliance na Singida United, Six Mwasekaga amegeukia siasa akijitosa kuwania udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo katika Kata ya Mbugani, wilayani Kyela, mkoa wa Mbeya. Mwasekaga aliliambia Mwanaspoti kwa sasa hachezi mpira wa ushindani na ameona ana nafasi ya kufanya kitu katika jamii kupitia siasa. “Kitu kikubwa kilichonishawishi ni…

Read More

Arusha yalenga kuwa kivutio kikuu cha michezo Afcon 2027

Arusha inajiandaa kujipanga kuwa kitovu cha michezo na utalii kwa kuwaleta pamoja wawekezaji na mashabiki wa kimataifa kabla ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027. Maandalizi ya mashindano hayo hayana kasi tu, bali pia yanatoa fursa ya kudumu kwa Arusha kuendeleza sekta ya michezo ambayo ni hatua muhimu katika kuanzisha jiji hilo kuwa kitovu…

Read More

Bajana atua jeshini na mzuka

BAADA ya kuagana na uongozi na wechezaji wenzake wa Azam FC,  kiungo Sospeter Bajana ametua JKT Tanzania akiwa na mzuka mwingi, akisema yupo tayari kwa ushindani ndani ya kikosi hicho anachoamini kitamrudisha katika ubora aliokuwa nao awali. Bajana amemalizana na Azam baada ya kuitumikia kwa miaka 15 na msimu ujao atakuwa na kazi jeshini kuitumikia…

Read More

JKT Queens yaanza kibabe CECAFA Women

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens imeanza kwa kishindo michuano ya CECAFA kwa Wanawake ya kuwania tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa JKU Princess mabao 5-0 kwenye mchezo wa Kindi C. Mechi hiyo imepigwa mchana huu kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex  Kenya ambako mashindano hayo yanaendelea kufanyika kuanzia jana hadi…

Read More

Dk Mwinyi awapa jukumu viongozi wa dini ulinzi wa amani

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka viongozi wa dini kutumia majukwaa yao kupaza sauti na kuwakumbusha wanasiasa kuwa katika kipindi cha kampeni ni muhimu kuepuka siasa za chuki, mifarakano, ubaguzi na matusi. Amesema badala ya kueneza maneno ya uchochezi, wanasiasa wanapaswa kueleza kwa uwazi mipango na sera zao kuhusu namna watakavyowahudumia wananchi,…

Read More

Ebola yaibuka tena DRC, yaua watu 16

Kinshasa. Mamlaka za afya za Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimetangaza mlipuo mpya wa ugonjwa wa Ebola, ambapo hadi sasa umeua watu 16, wakiwepo wahudumu wanne wa afya. Pia zimeeleza kuwa hadi sasa watu 28 wameripotiwa kuambukizwa ugonjwa huo na baadhi yao wanaendelea na matibabu. Maeneo yaliyoathirika zaidi na mlipoko wa ugonjwa huo yanatajwa…

Read More

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWAJIBU WANAOSEMA CCM INABEBA WATU NA MAGARI KUJAZA UWANJA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rungwe MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hasan amewajibu wanaosema Chama hicho kinabeba wanachama wake kwenye magari kuwapeleka katıka mikutano ya kampeni zake ambapo amesema siyo shida wala siyo aibu kuwasafirisha wanaokwenda katika mikutano. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya Rungwe mkoani Mbeya wakati wa mkutano…

Read More

Ushindi wa Namungo kwa JKU, waibeba City FC Abuja

KITENDO cha Namungo FC kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya JKU katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season Tournament si tu imeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali, bali pia imeibeba City FC Abuja. Ipo hivi; Kabla ya mchezo huo wa Kundi C kuchezwa leo Septemba 5, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani…

Read More