JK ATUA MKOANI KAGERA KUHUDHURIA HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA KAMPASI MPYA YA UDSM YA BUKOBA
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera leo tarehe 14 Desemba 2025. Dkt Kikwete amepokewa uwanjani hapo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolijia Profesa Adolf Faustine Mkenda na…