Admin

Mzize atibua mipango Yanga, viongozi wakuna vichwa

KIKOSI cha Yanga bado kipo mapumziko kupisha fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zinazoanza wikiendi hii huko Morocco, lakini kuna hesabu mpya ndani ya timu hiyo zinapigwa sasa ambazo zimelazimika kubadilishwa kutokana na maendeleo ya straika Clement Mzize. Mzize yupo nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na kuumia, japo hivi karibuni…

Read More

“MALIZENI MWAKA BILA MADENI YA KODI” CG MWENDA

 ::::::::: Walipakodi nchini wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya mapato awamu ya nne na kuwasilisha ritani za kodi ya ongezeko la thamani kwa wakati ili wamalize mwaka 2025 bila madeni ya kodi hali ambayo itawaepushia riba na adhabu. Rai hiyo imetolewa Desemba 12.2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw….

Read More

Padri Ngonyani: Jenista ni zawadi ya Mungu kwa maskini na wanyonge

Songea. Aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM),  marehemu Jenista Mhagama,  ametajwa kuwa zawadi ya Mungu kwa watu, hususan maskini, wasiojiweza na watu wenye ulemavu, kutokana na maisha yake ya kujitoa kwao bila kuchoka. Hayo yamesemwa leo, Jumapili, Desemba 14, 2025, kqtikq mahubiri yaliyotolewa na Padri Josephat Ngonyani wa Kanisa Katoliki Litapwasi,  wakati wa ibada takatifu ya…

Read More

Ongezeko la watu laongeza uzalishaji bia, vinywaji

Dar es Salaam. Ongezeko la watu Tanzania limetajwa kuwa sababu ya kuongezeka kwa kwa uzalishaji bia na vinywaji baridi katika viwanda vya nchini kwa miaka mitano mfululizo. Bidhaa hizo mbili pia ndiyo zilizozalishwa kwa wingi na viwanda vya ndani katika mwaka 2024 kuliko bidhaa nyingine zilizotajwa kwa upande wa Tanzania Bara. Ripoti ya Statistical Abstract…

Read More

Wataalamu watoa suluhu ya kudumu tatizo la maji

Dar es Salaam. Uhaba wa maji safi na salama unaoendelea kuitafuna baadhi ya mikoa nchini, umeanza kuibua mjadala miongoni mwa wadau wa mazingira, wakiitaka Serikali kuchukua hatua za haraka na za kudumu, hususan hizi tano za kimkakati. Wadau hao wameonya kuwa bila mikakati madhubuti ya hifadhi ya vyanzo vya maji na uvunaji wa maji ya…

Read More

Ole Millya atangaza kiama kwa viongozi wauza ardhi Simanjiro

Simanjiro. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya ametangaza kiama kwa viongozi wa vijiji wenye tamaa ya kuuza ardhi. Ole Millya ambaye pia ni Mbunge wa Simanjiro ameeleza kwamba hawatishi wala kuwaogopesha viongozi wenye tamaa ya kuuza ardhi ya vijiji ila atahakikisha anapambana na wabadhirifu hao. Akizungumza kwenye…

Read More