Boti yapinduka Ziwa Tanganyika, watumishi sita wa afya wafa maji
Kigoma. Watumishi sita wa Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, mkoani Kigoma wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa Tanganyika. Watumishi hao walikuwa wakitoka Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Kagunga kutoa huduma ya chanjo walipokumbwa na ajali hiyo iliyosababishwa na upepo mkali uliosababisha mawimbi makubwa ziwani. Akizungumza katika eneo…