Admin

Boti yapinduka Ziwa Tanganyika, watumishi sita wa afya wafa maji

Kigoma. Watumishi sita wa Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, mkoani Kigoma wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa Tanganyika. Watumishi hao walikuwa wakitoka Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Kagunga kutoa huduma ya chanjo walipokumbwa na ajali hiyo iliyosababishwa na upepo mkali uliosababisha mawimbi makubwa ziwani. Akizungumza katika eneo…

Read More

TMA yatoa tahadhari kwa watumiaji wa Ziwa Nyasa

Mbeya. Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imewataka wavuvi mwambao mwa Ziwa Nyasa kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa vipindi vya radi na upepo mkali wenye uwezo wa kusababisha ajali au kupinduka vyombo vya uvuvi majini. Mbali na wavuvi pia imewataka wananchi waishio mabondeni kuchukua tahadhari kubwa kufuatia udongo kufyonza…

Read More

WAHARIRI WATEMBELEA MRADI WA REA USAMBAZAJI WA UMEME VITONGOJI SITA WILAYANI LUDEWA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetembelea mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe, mradi unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kiasi cha fedha Sh. bilioni 3.1. Utekelezaji wa mradi huo ulianza kutekelezwa Julai 13, mwaka 2025 na unatarajiwa kukamilika Aprili…

Read More

REA YAANZA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU 8,424 KIGOMA

Wakala wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni salama kwa mtumiaji na rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa ugawaji wa majiko katika Wilaya Kibondo…

Read More

Vyombo vya ukandamizaji vya Jimbo la Venezuela ‘zisizobadilika’ licha ya mabadiliko ya uongozi – Masuala ya Ulimwenguni

“The miundo ambayo imeendeleza mateso kwa miaka mingi haijavunjwa, wala sera za Serikali hazijatangazwa kuanza mchakato huo.”, Ujumbe wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli kwa Venezuela ulisema katika a taarifa iliyotolewa Jumatano. Ujumbe huo ulianzishwa ili kutathmini madai ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Venezuela uliofanywa tangu 2014. Tangu kukamatwa kwa Maduro mnamo Januari 3,…

Read More

WFP inatafuta dola milioni 200 kuendeleza msaada wa chakula – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la Umoja wa Mataifa linafanya kazi ili kuendeleza shughuli za usaidizi wa chakula katika takriban nchi 10 katika kanda hiyo, pamoja na Afghanistan, Samer Abdeljaber, WFP mkurugenzi wa kanda ya Mashariki ya Kati, Afrika Kaskazini na Ulaya Mashariki, aliambia Habari za Umoja wa Mataifa. Makadirio ya awali yanaonyesha kuwa takriban dola milioni 200 zitahitajika…

Read More

WATANZANIA SABA WAWASILI NCHINI KUTOKEA IRAN

Watanzania SABA waliokuwa nchini Iran wamewasili jijini Dar es Salaam Machi 13, 2026, kufuatia operesheni ya uokozi iliyoratibiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Watanzania hao wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 8:40 usiku kwa kutumia Shirika la Ndege la Uturuki, wakitokea nchini Uturuki ambako walipokewa awali…

Read More