Admin

WATANZANIA SABA WAWASILI NCHINI KUTOKEA IRAN

Watanzania SABA waliokuwa nchini Iran wamewasili jijini Dar es Salaam Machi 13, 2026, kufuatia operesheni ya uokozi iliyoratibiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Watanzania hao wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 8:40 usiku kwa kutumia Shirika la Ndege la Uturuki, wakitokea nchini Uturuki ambako walipokewa awali…

Read More

Ramadhani ni mwezi wa toba, kuokolewa na moto

Mwezi wa Ramadhani ni mwezi ambao milango ya pepo hufunguliwa na milango ya moto hufungwa. Katika mwezi huu, Allah Mtukufu huwapa neema waja wake wanaofunga kwa kuwaokoa na moto wa jahannam. Moto ambao joto lake ni kali sana, kina chake ni kirefu, na adhabu yake ni nzito. Mtume wa Allah (rehema na amani ziwe juu…

Read More

Tumia viungo hivi kuondoa harufu mbaya kwapani

Harufu mbaya ya kwapa ni tatizo linalowakumba watu wengi katika jamii, na mara nyingi husababisha usumbufu wa kijamii na kupunguza kujiamini. Tatizo hili hutokana na mambo mbalimbali yanayohusiana na mwili wa binadamu, mazingira, na mienendo ya maisha ya kila siku. Kuelewa sababu hizi ni hatua muhimu katika kukabiliana na tatizo hili. Moja ya sababu kuu…

Read More

Mambo ya kuzingatia unapokula matunda

Dar es Salaam. Matunda ni chakula cha asili chenye virutubisho vingi muhimu kwa afya ya binadamu. Matunda yanaweza kuwa matamu, machungu au kuwa na ladha ya wastani, na mengi huliwa mabichi hali inayosaidia kuhifadhi virutubisho vyake kwa kiwango kikubwa. Ofisa lishe mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Fatma Juma, anataja mambo  muhimu…

Read More

Mara ngapi unavaa soksi bila kufua?

Dar es Salaam. Ni jambo la kawaida kuvaa jozi ileile ya suruali, sweta au hata fulana zaidi ya mara moja. Lakini vipi kuhusu soksi zako? Kama ungejua ni nini hasa huishi kwenye soksi zako baada ya siku moja tu ya kuzivaa, huenda ungefikiria mara mbilimbili kabla ya kuzivaa tena. Miguu yetu ni msitu mdogo wa…

Read More

uchunguzi huru – Masuala ya Ulimwenguni

Wajumbe wa Tume ya Uchunguzi kuhusu Ukraine, uchunguzi huru kuhusu uvamizi kamili wa Urusi ambao uliwasilisha ripoti yake ya hivi punde kwa Baraza la Haki za Binadamu huko Geneva, walisema kwamba wamethibitisha kufukuzwa na kuhamishwa kwa watoto 1,205 kutoka maeneo yanayokaliwa na Warusi nchini Ukrainia hadi Urusi au katika maeneo mengine yanayokaliwa kwa mabavu nchini…

Read More