Admin

Kipigo cha 6-0 chailiza Bilo Queens

BAADA ya kukubali kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa JKT Queens, kocha wa Bilo Queens, Ibrahim Humba, amesema ugeni wa Ligi Kuu na uzoefu mdogo wa mashindano ni kati ya sababu zilizowaangusha. Bilo Queens ni kati ya timu nne zilizopanda daraja kucheza Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano ya…

Read More

Waisraeli 11 wauawa katika shambulio Australia

Sydney, Australia. Watu 11 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya shambulio la risasi lililotokea leo Jumapili Desemba 14, 2025, katika ufukwe wa Bondi, mashariki mwa Jiji la Sydney nchini Australia. Taarifa ya polisi wa Jimbo la New South Wales zinaeleza kuwa tukio hilo limetokea wakati watu walipokuwa wamekusanyika kusherehekea sikukuu ya Hanukkah (Chanukah),…

Read More

Bilioni 53 kujenga miradi 57 Manispaa Kigoma Ujiji

Kigoma. Zaidi ya Sh53 bilioni zimetarajiwa kutumika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji. Hayo yamebainishwa leo, Desemba 14, 2025, na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Kisena Mabuba, wakati wa ziara ya waandishi wa habari ya kukagua baadhi ya miradi inayotekelezwa na manispaa hiyo. Amesema kuwa jumla ya miradi…

Read More

Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi

Dar es Salaam. Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa  ushirikiano kati ya nchi hizo mbili umeleta matokeo chanya kiuchumi kwa wananchi wake na katika ukanda wa kusini mwa Afrika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ya Zambia, Fredrick Mwalusaka wakati wa uzinduzi…

Read More

Ramadhan Chomelo kutimkia Depsas Enerji

KUNA asilimia kubwa kwa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo akatimkia Depsas Enerji ya nchini humo. Kama atafanikiwa kukamilisha uhamisho huo basi inaweza kuwa msimu wake wa nne mfululizo kuitumikia Ligi ya Uturuki akiujiunga nayo msimu wa 2022 alipotokea Tanzania. Chanzo cha kuaminika kililiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Mtanzania mwingine atimka Dispas | Mwanaspoti

WINGA Mtanzania, Kassim Mbarouk aliyeitumikia Sauti Parasports amejiunga na Dispas SC ya Uturuki kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mbarouk anakuwa mchezaji wa nne kutoka Tanzania kujiunga na Ligi ya Walemavu nchini Uturuki baada ya Ramadhan Chomelo, Shedrack Hebron (Sisli Yeditepe) na Mudrick Mohamed wa Mersin. Akizungumza na Mwanaspoti Mbarouk amesema alipata dili hilo akiwa na…

Read More

Balozi Bandora afariki dunia, kuzikwa Desemba 16

Dar es Salaam. Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi  wa Umoja wa Mataifa nchini Eswatini na Namibia, Timothy Bandora (72), amefariki dunia akiwa jijini Nairobi, nchini Kenya, ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Bandora, ambaye aliitumikia Serikali kuanzia awamu ya kwanza hadi ya tatu, alitekeleza majukumu mbalimbali ya…

Read More