Admin

Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi

Dar es Salaam. Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa  ushirikiano kati ya nchi hizo mbili umeleta matokeo chanya kiuchumi kwa wananchi wake na katika ukanda wa kusini mwa Afrika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ya Zambia, Fredrick Mwalusaka wakati wa uzinduzi…

Read More

Ramadhan Chomelo kutimkia Depsas Enerji

KUNA asilimia kubwa kwa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo akatimkia Depsas Enerji ya nchini humo. Kama atafanikiwa kukamilisha uhamisho huo basi inaweza kuwa msimu wake wa nne mfululizo kuitumikia Ligi ya Uturuki akiujiunga nayo msimu wa 2022 alipotokea Tanzania. Chanzo cha kuaminika kililiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Mtanzania mwingine atimka Dispas | Mwanaspoti

WINGA Mtanzania, Kassim Mbarouk aliyeitumikia Sauti Parasports amejiunga na Dispas SC ya Uturuki kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mbarouk anakuwa mchezaji wa nne kutoka Tanzania kujiunga na Ligi ya Walemavu nchini Uturuki baada ya Ramadhan Chomelo, Shedrack Hebron (Sisli Yeditepe) na Mudrick Mohamed wa Mersin. Akizungumza na Mwanaspoti Mbarouk amesema alipata dili hilo akiwa na…

Read More

Balozi Bandora afariki dunia, kuzikwa Desemba 16

Dar es Salaam. Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi  wa Umoja wa Mataifa nchini Eswatini na Namibia, Timothy Bandora (72), amefariki dunia akiwa jijini Nairobi, nchini Kenya, ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Bandora, ambaye aliitumikia Serikali kuanzia awamu ya kwanza hadi ya tatu, alitekeleza majukumu mbalimbali ya…

Read More

Chama la kina Lunyamila linakwama hapa

CHAMA la Watanzania wawili, Julietha Singano na Enekia Kasonga ‘Lunyamila’ wanaokipiga FC Juarez inayoshiriki Ligi ya Wanawake Mexico bado lina changamoto kwenye eneo la ushambuliaji. FC Juarez iko nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi hiyo yenye timu 18, kwenye mechi 17 imeshinda saba, sare sita na kupoteza nne ikifunga mabao 24 na kuruhusu 27….

Read More

Mabula atamani rekodi mpya Azerbaijan

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema anatamani kuvunja rekodi yake binafsi ya msimu uliopita baada ya kufikisha mabao matatu na asisti tatu alizochangia 2024-25. Huu ni msimu wa pili wa kiungo huyo wa timu ya taifa, Taifa Stars kuitumikia timu hiyo. Msimu uliopita alicheza nusu msimu alipojiunga na Shamakhi akitokea…

Read More