Zambia kuendelea kushirikiana na Tanzania kiuchukuzi
Dar es Salaam. Zambia imesema itaendelea kuwa mdau muhimu wa sekta ya usafiri na uchukuzi nchini Tanzania, ikibainisha kuwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili umeleta matokeo chanya kiuchumi kwa wananchi wake na katika ukanda wa kusini mwa Afrika. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ya Zambia, Fredrick Mwalusaka wakati wa uzinduzi…